Loading...

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji Aendelea na Ziara Yake Kutembelea Miradi Mbalimbali. Aagiza Uchunguzi Ufanyika Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Vya Madarasa Shule ya Msingi Kigoma.

Loading...
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji Aendelea na Ziara Yake Kutembelea Miradi Mbalimbali. Aagiza Uchunguzi Ufanyika Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Vya Madarasa Shule ya Msingi Kigoma. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji Aendelea na Ziara Yake Kutembelea Miradi Mbalimbali. Aagiza Uchunguzi Ufanyika Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Vya Madarasa Shule ya Msingi Kigoma., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji Aendelea na Ziara Yake Kutembelea Miradi Mbalimbali. Aagiza Uchunguzi Ufanyika Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Vya Madarasa Shule ya Msingi Kigoma.
link : Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji Aendelea na Ziara Yake Kutembelea Miradi Mbalimbali. Aagiza Uchunguzi Ufanyika Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Vya Madarasa Shule ya Msingi Kigoma.

soma pia


Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji Aendelea na Ziara Yake Kutembelea Miradi Mbalimbali. Aagiza Uchunguzi Ufanyika Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Vya Madarasa Shule ya Msingi Kigoma.












Na.Benny Mwaipaja, WFM, Kigoma
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, 
ameiagiza Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Kigoma 
kufanya uchunguzi na kuchukua hatua baada ya kubaini 
harufu ya ufisadi katika ujenzi wa vyumba vya madarasa 9 ya 
shule ya msingi Kigoma yanayojengwa kwa ufadhili wa 
Serikali ya Japan kwa gharama ya shilingi milioni 200.

Dkt. Kijaji ametoa maelekezo hayo baada ya Kaimu 
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Dkt. John Tlatlaa, 
kueleza kwamba  mradi huo unahusisha ujenzi wa vyumba 10 
vya madarasa na vyoo vyenye matundu 12, wakati mkataba 
ulioingiwa kati ya Manispaa na Mkandarasi inayoonesha 
kwamba yatajengwa madarasa tisa na vyoo vyenye matundu 
12.

Baada ya mjadala kati yake na Kaimu Mkurugenzi huyo wa 
Manispaa ya Kigoma, akamwelekeza Kaimu Mkuu wa Wilaya 
hiyo Bi. Mwanamvua Mlindoko kuchukua hatua za 
kiuchunguzi.

"Mradi unaojulikana Mhe. Mkuu wa Wilaya ni wa madarasa 
tisa, mkandarasi akija kudai nyongeza ya malipo kwa darasa 
moja lililoongezeka atakuwa na haki!, ninachokichukua 
mimi ni taarifa hii inayoeleza kujengwa kwa madarasa tisa, 
hilo moja ni la kwake Mkurugenzi kichwani" alisisitiza Dkt. 
Kijaji

Aidha, Dkt. Kijaji alibainisha kutoridhika kwake na gharama 
za ujenzi wa darasa moja kwa shilingi 17m na kwamba kiasi 
cha shilingi milioni 200 kilichotolewa na Japan kutekeleza 
mradi huo kingeweza kujenga madarasa hata 20.

Awali, akitoa maelezo yake kuhusu ujenzi wa mradi huo 
unaojengwa na Kampuni ya Juve Construction and 
General Trading ya Mjini Kigoma, Dkt. John Tlatlaa, 
alisema kuwa mfadhili, Serikali ya Japan ilitoa masharti ya 
majengo hayo kujengwa na mkandarasi badala ya kutumia 
nguvukazi-force account.

"Baada ya Japan kutuma fedha hizo na kuingia kwenye 
akaunti ya Manispaa tulimwita mkandarasi na kumweleza 
kuwa kutokana na wingi wa fedha hizo, atalazimika kuongeza 
darasa moja zaidi" alijitetea Kaimu Mkurgenzi huyo.
Maelezo hayo pamoja na ya nyongezwa kwamba majengo 
mapya yatawekewa nguzo ndio maana gharama zake ziko 
juu, hayakumridhisha Dkt. Kijaji na kuamuru uchuguzi wa 
kina ufanyike.


Hivyo makala Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji Aendelea na Ziara Yake Kutembelea Miradi Mbalimbali. Aagiza Uchunguzi Ufanyika Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Vya Madarasa Shule ya Msingi Kigoma.

yaani makala yote Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji Aendelea na Ziara Yake Kutembelea Miradi Mbalimbali. Aagiza Uchunguzi Ufanyika Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Vya Madarasa Shule ya Msingi Kigoma. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji Aendelea na Ziara Yake Kutembelea Miradi Mbalimbali. Aagiza Uchunguzi Ufanyika Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Vya Madarasa Shule ya Msingi Kigoma. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/naibu-waziri-wa-fedha-na-mipango-dkt.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji Aendelea na Ziara Yake Kutembelea Miradi Mbalimbali. Aagiza Uchunguzi Ufanyika Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Vya Madarasa Shule ya Msingi Kigoma."

Post a Comment

Loading...