Loading...
title : NAONA MBOWE NAYE AMEAMUA KUWAFUATA WAITARA, MTATIRO !
link : NAONA MBOWE NAYE AMEAMUA KUWAFUATA WAITARA, MTATIRO !
NAONA MBOWE NAYE AMEAMUA KUWAFUATA WAITARA, MTATIRO !
Na Said Mwishehe
SITAKI kuamini hiki...yaani hata Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe naye ameamua kuhamia CCM.
Ni nini kimetokea kwa Mbowe?Hivi kweli ameamua kwa ridhaa yake kujiunga CCM? Amenunuliwa?Ujue unaposikia Mbowe naye ameamua kujiunga CCM lazima kuna maswali ya msingi ambayo utajiuliza tu.
Au Mbowe ameamua kuondoka Chadema kutokana na kulalamikiwa na baadhi ya wabunge wa chama hicho kuwa anaendesha chama kwa maamuzi yake.Hili sidhani.Haiwezi kuwasababu ya kumfanya Mbowe kujiunga na CCM.
Au ameamua kuondoka Chadema na kuachana na nafasi zake zote alizonazo kwasababu tu ya kuchoshwa na tuhuma ambazo zinaelekezwa kwake kila kukicha na wale wanaohama kuwa hataki kuachia Uenyekiti kwa wengine.Hata hivyo kwa kuwa Mbowe yupo nitaelewa tu sababu zilizomfanya naye aondoke Chadema na kwenda kujiunga na CCM.
Hata hivyo wakati hayo yakiendelea nikawa natafakari hivi ni kweli Mbowe hizi habari za kwamba ameondoka Chadema na kujiunga na CCM.Binafsi sawa nilishangaa kusikia Mbowe kaondoka Chadema lakini kwa hali ya kisiasa nchini inavyoendelea nikaona huenda anaweza kuwa na uamuzi huo na ni haki yake kimsingi.
Wakati bado naendelea kutafakari sababu za Mbowe kuondoka Chadema ...napigiwa simu na marafiki zangu wengine wakiniambia Mbowe ameitisha mkutano anazungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake.Habari za Mbowe kuamua kuitisha mkutano zikaanza kunipa picha na kuanza kuamini huenda ikawa kweli.
Nikaona isiwe tabu acha niende nikamsikilize angalau niwe na cha kuwaambia watanzania kupitia chombo changu cha habari ninachofanyia kazi.Nikauliza muda wa mkutano nikaambiwa. Sikutaka kupoteza muda nikachukua 'not book' yangu na kalamu na kwa kuhakikisha napata tukio vizuri nikabeba na kamera kwa ajili ya picha.
Nikaingia kwenye daladala huyo hadi nyumbani kwa Mbowe.Nilipofika nikakutuna na waandishi wengine wengi tena wengi kweli kuliko hata wale waliojitokeza wakati ule anazungumzia matokeo ya uchaguzi mkuu mwaka 2015.Muda ulipowadia Mbowe akaingia eneo la mkutano.Wakati anaingia kwenye eneo la mkutano hakuwa na kiongozi yoyote maana aliingia peke yake tu.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>>
SITAKI kuamini hiki...yaani hata Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe naye ameamua kuhamia CCM.
Ni nini kimetokea kwa Mbowe?Hivi kweli ameamua kwa ridhaa yake kujiunga CCM? Amenunuliwa?Ujue unaposikia Mbowe naye ameamua kujiunga CCM lazima kuna maswali ya msingi ambayo utajiuliza tu.
Au Mbowe ameamua kuondoka Chadema kutokana na kulalamikiwa na baadhi ya wabunge wa chama hicho kuwa anaendesha chama kwa maamuzi yake.Hili sidhani.Haiwezi kuwasababu ya kumfanya Mbowe kujiunga na CCM.
Au ameamua kuondoka Chadema na kuachana na nafasi zake zote alizonazo kwasababu tu ya kuchoshwa na tuhuma ambazo zinaelekezwa kwake kila kukicha na wale wanaohama kuwa hataki kuachia Uenyekiti kwa wengine.Hata hivyo kwa kuwa Mbowe yupo nitaelewa tu sababu zilizomfanya naye aondoke Chadema na kwenda kujiunga na CCM.
Hata hivyo wakati hayo yakiendelea nikawa natafakari hivi ni kweli Mbowe hizi habari za kwamba ameondoka Chadema na kujiunga na CCM.Binafsi sawa nilishangaa kusikia Mbowe kaondoka Chadema lakini kwa hali ya kisiasa nchini inavyoendelea nikaona huenda anaweza kuwa na uamuzi huo na ni haki yake kimsingi.
Wakati bado naendelea kutafakari sababu za Mbowe kuondoka Chadema ...napigiwa simu na marafiki zangu wengine wakiniambia Mbowe ameitisha mkutano anazungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake.Habari za Mbowe kuamua kuitisha mkutano zikaanza kunipa picha na kuanza kuamini huenda ikawa kweli.
Nikaona isiwe tabu acha niende nikamsikilize angalau niwe na cha kuwaambia watanzania kupitia chombo changu cha habari ninachofanyia kazi.Nikauliza muda wa mkutano nikaambiwa. Sikutaka kupoteza muda nikachukua 'not book' yangu na kalamu na kwa kuhakikisha napata tukio vizuri nikabeba na kamera kwa ajili ya picha.
Nikaingia kwenye daladala huyo hadi nyumbani kwa Mbowe.Nilipofika nikakutuna na waandishi wengine wengi tena wengi kweli kuliko hata wale waliojitokeza wakati ule anazungumzia matokeo ya uchaguzi mkuu mwaka 2015.Muda ulipowadia Mbowe akaingia eneo la mkutano.Wakati anaingia kwenye eneo la mkutano hakuwa na kiongozi yoyote maana aliingia peke yake tu.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>>
Hivyo makala NAONA MBOWE NAYE AMEAMUA KUWAFUATA WAITARA, MTATIRO !
yaani makala yote NAONA MBOWE NAYE AMEAMUA KUWAFUATA WAITARA, MTATIRO ! Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala NAONA MBOWE NAYE AMEAMUA KUWAFUATA WAITARA, MTATIRO ! mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/naona-mbowe-naye-ameamua-kuwafuata.html
0 Response to "NAONA MBOWE NAYE AMEAMUA KUWAFUATA WAITARA, MTATIRO !"
Post a Comment