Loading...

RC MAKONDA AVIWEZESHA KIUCHUMI VIKUNDI VYA JOGGING KWA KUVIPATIA MITAJI i.

Loading...
RC MAKONDA AVIWEZESHA KIUCHUMI VIKUNDI VYA JOGGING KWA KUVIPATIA MITAJI i. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RC MAKONDA AVIWEZESHA KIUCHUMI VIKUNDI VYA JOGGING KWA KUVIPATIA MITAJI i., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RC MAKONDA AVIWEZESHA KIUCHUMI VIKUNDI VYA JOGGING KWA KUVIPATIA MITAJI i.
link : RC MAKONDA AVIWEZESHA KIUCHUMI VIKUNDI VYA JOGGING KWA KUVIPATIA MITAJI i.

soma pia


RC MAKONDA AVIWEZESHA KIUCHUMI VIKUNDI VYA JOGGING KWA KUVIPATIA MITAJI i.


 Mwambawahabari
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam  Mhe. Paul Makonda  leo ameanza rasmi  mpango wa kuviwezesha kiuchumi vilabu vya Jogging  kwa kuvipatia  mitaji  ya kuwezesha kuanzisha miradi ya kujikwamua kiuchumi.

 Akizungumza wakati wa  Bonanza la Vilabu vya Jogging  Dar es salaam  RC Makonda ameanza kwa kukabidhi  kitita  cha zawadi ya shilingi  milioni 10  kwa washindi wa makundi mbalimbali pamoja na kuahidi kukabidhi  shilingi Million Saba  kwa chama cha  Jogging Temeke ili waweze kuwa na  SACOSS  yao endapo atajiridhisha kuwa wamekidhi vigezo.

Aidha  RC Makonda amesema anachokitaka kwa sasa ni kuona  vilabu vya Jogging vinashiriki  shughuli za uzalishaji Mali  ili wajikwamue kiuchumi na  wasipate muda wa kushiriki matukio ya uhalifu kama uporaji, ubakaji na matumizi ya dawa za kulevya.

RC Makonda  amesema kila baada ya miezi miwili yatakuwa yakifanyika  mabonanza  makubwa ya Jogging hivyo amezitaka  kila wilaya kujiandaa.

Pamoja na hayo RC Makonda  amewataka  vijana mkoani kwake kuchangamkia fursa zote halali zinazopatikana Dar es salaam kwakuwa mkoa huo Ndio  chimbuko la mafanikio  kwa wengi huku akiwahimiza  kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.

Hata  RC Makonda  hivyo amewaomba Vijana wa Jogging kuwa  mstari wa mbele kuwafichua waharifu  ili Dar es salaam iendelee kubaki kuwa jiji lenye amani na usalama wakati wote.




Hivyo makala RC MAKONDA AVIWEZESHA KIUCHUMI VIKUNDI VYA JOGGING KWA KUVIPATIA MITAJI i.

yaani makala yote RC MAKONDA AVIWEZESHA KIUCHUMI VIKUNDI VYA JOGGING KWA KUVIPATIA MITAJI i. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RC MAKONDA AVIWEZESHA KIUCHUMI VIKUNDI VYA JOGGING KWA KUVIPATIA MITAJI i. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/rc-makonda-aviwezesha-kiuchumi-vikundi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RC MAKONDA AVIWEZESHA KIUCHUMI VIKUNDI VYA JOGGING KWA KUVIPATIA MITAJI i."

Post a Comment

Loading...