Loading...
title : SERENGETI BOYS YAICHAPA BAO 5 SUDAN
link : SERENGETI BOYS YAICHAPA BAO 5 SUDAN
SERENGETI BOYS YAICHAPA BAO 5 SUDAN
Timu ya vijana Tanzania chini ya miaka 17 kushinda kwa mabao 5-0 dhidi ya Sudan.Serengeti Boys imeangusha kipigo hicho maridadi dhidi ya Sudan katika michuano ya kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Kwa ushindi huo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Serengeti Boys imefanikiwa kutinga nusu fainali ya michuano hiyo.
Ushindi huo mnono wa mabao matano, unaifanya Serengeti Boys ifikishe pointi sita baada ya mechi mbili na kupanda kileleni, Rwanda yenye pointi sita imeporomoka, huku Serengeti ikisaidiwa na wastani wao mzuri wa mabao
Hivyo makala SERENGETI BOYS YAICHAPA BAO 5 SUDAN
yaani makala yote SERENGETI BOYS YAICHAPA BAO 5 SUDAN Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala SERENGETI BOYS YAICHAPA BAO 5 SUDAN mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/serengeti-boys-yaichapa-bao-5-sudan.html
0 Response to "SERENGETI BOYS YAICHAPA BAO 5 SUDAN"
Post a Comment