Loading...

SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUACHA MIGOGORO KATIKA UBIA WA UWEKEZAJI

Loading...
SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUACHA MIGOGORO KATIKA UBIA WA UWEKEZAJI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUACHA MIGOGORO KATIKA UBIA WA UWEKEZAJI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUACHA MIGOGORO KATIKA UBIA WA UWEKEZAJI
link : SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUACHA MIGOGORO KATIKA UBIA WA UWEKEZAJI

soma pia


SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUACHA MIGOGORO KATIKA UBIA WA UWEKEZAJI

Na Zuena Msuya, Kilimanjaro , 

Serikali imewataka Watanzania kuepuka migogoro katika maeno ya migodi hasa inayomilikiwa Kwa ubia na wawekezaji wazawa ili kuondoa taswira mbaya kwa wawekezaji kutoka Matifa mengine yanayokuja nchini kwa lengo la kuwekeza badala yake waungane kuweka mazingira mazuri na rafiki ya kuvutia wawekezaji hao kuwekeza nchini .

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Madini, Dotto Biteko wakati wa ziara yake mkoani Kilimanjaro alipotembelea mgodi wa Madini wa Mega unaochimba madini ya shaba .( Mega Copper Company) uliopo katika Kijiji cha Chang`ombe wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro, Kwan lengo la kumaliza mgogoro uliopo katika mgodi huo unachimba na kuchenjua madini ya Shaba.

Mgodi huo wa madini ya Shaba unaomilikiwa na Watanzania umekuwa katika migogoro ya kutoelewana wenyewe kwa wenyewe kwa zaidi ya miaka 10 sasa, Licha kumepiga hatau katika uchenjuaji wa shaba na kwamba hausafirishi madini ghafi nje ya nchi kama serikali ilivyoagiza.

Kwa mantiki hiyo, Biteko alisisitiza kuwa migogoro haipaswi kupewa nafasi na inarudisha nyuma maendeleo ya watanzania na kuleta taswira mbaya ya Uwekezaji Tanzania katika Mataifa mengine Duniani Kwani kusengskuwa na mgogoro katika mgodi huo wangekuwa wamepiga hatua zaidi kwa manufaa yao na Taifa kwa jumla.

Biteko alisema “migogoro miongoni ya wabia hasa wazawa haipaswi kufumbiwa macho na mtu yeyote Yule, ambapo alishauri kuwa kama watu, au kikundi wameingia makubaliano ya pamoja katika kuendeleza mgodi au jambo fulani basi, makubaliano hayo yapelekwe Wizara ya madini au katika mamlaka husika yasajiliwe kuepusha migogoro.
Naibu waziri wa madini, Dotto Biteko, akikagua uchimbaji sehemu ya hatua inapopitishwa Mbale ya shaba kabla ya kupatikana shaba halisi. 
Naibu Waziri wa madini, Dotto Biteko, akizungumza na akina mama wanaofanya kazi katika mgodi wa shaba wa Mega. 



Hivyo makala SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUACHA MIGOGORO KATIKA UBIA WA UWEKEZAJI

yaani makala yote SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUACHA MIGOGORO KATIKA UBIA WA UWEKEZAJI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUACHA MIGOGORO KATIKA UBIA WA UWEKEZAJI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/serikali-yawataka-watanzania-kuacha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUACHA MIGOGORO KATIKA UBIA WA UWEKEZAJI"

Post a Comment

Loading...