Loading...

WASIOWASILISHA MIKATABA KWA MWANASHERIA MKUU WAFANYA HIVYO HARAKA

Loading...
WASIOWASILISHA MIKATABA KWA MWANASHERIA MKUU WAFANYA HIVYO HARAKA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WASIOWASILISHA MIKATABA KWA MWANASHERIA MKUU WAFANYA HIVYO HARAKA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WASIOWASILISHA MIKATABA KWA MWANASHERIA MKUU WAFANYA HIVYO HARAKA
link : WASIOWASILISHA MIKATABA KWA MWANASHERIA MKUU WAFANYA HIVYO HARAKA

soma pia


WASIOWASILISHA MIKATABA KWA MWANASHERIA MKUU WAFANYA HIVYO HARAKA



Na Mwandishi Maalum, Dodoma.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Adelardus Kilangi, amezikumbusha  Wizara  na Taasisi  za Serikali ambazo bado hazijawasilisha mikataba ambayo imeombwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kwaajili ya  marejejo kufanya hivyo  mapema iwezekanavyo.

Ametoa wito huo siku ya  jumatano wiki  hii wakati wa hafla ya uzinduzi wa  Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka . Uzinduzi huo ulifanywa na Mhe.  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Kassim  Majaliwa  Jijini Dodoma.

Akielezea  Muundo  mpya wa Ofisi ya Mwanasheria  Mkuu  wa Serikali  kwa  Mhe. Waziri Mkuu na majukumu ambayo Ofisi hii imepanga kuyatekeleza. Mwanasheria Mkuu ameyataja  baadhi  hayo ni pamoja na   marejeo ( review) ya mikataba muhimu kwa lengo la kuhakikisha mikataba hiyo ina masharti yanayolinda maslahi ya  taifa.

“Tumepanga kufanya marejeo ya mikataba muhimu kwa lengo la kuhakikisha kuwa mikataba hiyo ina masharti yanayolinda maslahi ya taifa. Zoezi hili litahusisha mikataba yote ya kimataifa,  mikataba ya  uendelezaji  madini ( MDAs) na mikataba ya uzalishaji na mauzo ya gesi asilia”, ameeleza Mwanasheria Mkuu wa Serikali.Mikataba mingine itakayofanyiwa marejeo ni  mikataba inayohusu uwekezaji baina ya Tanzania na nchi nyingine pamoja na mikataba mingine ambayo Serikali ina maslahi.

“Mhe. Waziri Mkuu, ninaomba kutumia fursa hii kuzishukuru Wizara na Taasisi za Serikali kwa kuendelea kutupatia mikataba tunayoihitaji kufanyia marejeo. Kwa  Wizara na Taasisi ambazo  hazijawasilisha mikataba iliyoombwa, zinakumbushwa kufanya hivyo mapema ili shughuli hiyo ianze”.Pamoja na kufanya marejeo ya mikataba muhimu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema, Ofisi yake inapanga kuweka mfumo utakaokuwa na regista ya mikataba yote ya kimataifa ili iwe rahisi kuifanyia rejea au kupatikana pindi inapohitajika kwa matumizi mbalimbali ya kiserikali na kisheria.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Adelardus Kilangi akitoa maelezo ya muundo mpya ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali  na majukumu ya Ofisi hiyo kwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa wakati wa uzinduzi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Wakili Mkuu wa Serikali na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka. Uzinduzi wa Ofisi hizo tatu ulifanywa na Waziri Mkuu siku ya Jumatano jijini  Dodoma ( picha na habari na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali) .



Hivyo makala WASIOWASILISHA MIKATABA KWA MWANASHERIA MKUU WAFANYA HIVYO HARAKA

yaani makala yote WASIOWASILISHA MIKATABA KWA MWANASHERIA MKUU WAFANYA HIVYO HARAKA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WASIOWASILISHA MIKATABA KWA MWANASHERIA MKUU WAFANYA HIVYO HARAKA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/wasiowasilisha-mikataba-kwa-mwanasheria.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WASIOWASILISHA MIKATABA KWA MWANASHERIA MKUU WAFANYA HIVYO HARAKA"

Post a Comment

Loading...