Loading...

IMANI POTOFU-ZIMBABWE -BAADHI YA WAGONJWA WA UKIMWI WANAAMINI UKISHIRIKI TENDO LA NDOA NA ALBINO UNAPONA .

Loading...
IMANI POTOFU-ZIMBABWE -BAADHI YA WAGONJWA WA UKIMWI WANAAMINI UKISHIRIKI TENDO LA NDOA NA ALBINO UNAPONA . - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa IMANI POTOFU-ZIMBABWE -BAADHI YA WAGONJWA WA UKIMWI WANAAMINI UKISHIRIKI TENDO LA NDOA NA ALBINO UNAPONA ., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : IMANI POTOFU-ZIMBABWE -BAADHI YA WAGONJWA WA UKIMWI WANAAMINI UKISHIRIKI TENDO LA NDOA NA ALBINO UNAPONA .
link : IMANI POTOFU-ZIMBABWE -BAADHI YA WAGONJWA WA UKIMWI WANAAMINI UKISHIRIKI TENDO LA NDOA NA ALBINO UNAPONA .

soma pia


IMANI POTOFU-ZIMBABWE -BAADHI YA WAGONJWA WA UKIMWI WANAAMINI UKISHIRIKI TENDO LA NDOA NA ALBINO UNAPONA .

Anaandika Dixon Busagaga.

IMANI haba na zile za kishirikina zimeendelea kushika kasi kwa nchi za Afrika huku  watu wenye ulemavu wa Ngozi “Albino” wakiwa waathirika wakubwa kwa kufanyiwa vitendo vya ukatili kwa kuuawa na kisha kunyofolewa viungo kwa imani za kishirikina.

Matukio haya yanatajwa kuendelea kukithiri katika nchi za Afrika ikiwemo Tanzania, ambapo nchini Zimbabwe ipo imani ya kwamba muathirika wa ugonjwa wa Ukimwi akishiriki tendo la ndoa na mwenye ulemavu wa ngozi "Albino " atakuwa amepona .

Lissa Marange ni miongoni mwa washiriki 25 kutoka nchi zaidi ya nane walioshiriki zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kupeleka ujumbe maalumu kwa viongozi wa Afrika kuongeza nguvu katika mapambano ya vita dhidi ya ukatili kwa watu wenye Ualbino.
 Pichani wa pilia kulia ni Lissa Marange ambaye ni miongoni mwa washiriki 25 kutoka nchi zaidi ya nane walioshiriki zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kupeleka ujumbe maalumu kwa viongozi wa Afrika kuongeza nguvu katika mapambano ya vita dhidi ya ukatili kwa watu wenye Ualbino.
 Baadhi ya washiriki 25 kutoka nchi zaidi ya nane walioshiriki zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kupeleka ujumbe maalumu kwa viongozi wa Afrika kuongeza nguvu katika mapambano ya vita dhidi ya ukatili kwa watu wenye Ualbino.



Hivyo makala IMANI POTOFU-ZIMBABWE -BAADHI YA WAGONJWA WA UKIMWI WANAAMINI UKISHIRIKI TENDO LA NDOA NA ALBINO UNAPONA .

yaani makala yote IMANI POTOFU-ZIMBABWE -BAADHI YA WAGONJWA WA UKIMWI WANAAMINI UKISHIRIKI TENDO LA NDOA NA ALBINO UNAPONA . Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala IMANI POTOFU-ZIMBABWE -BAADHI YA WAGONJWA WA UKIMWI WANAAMINI UKISHIRIKI TENDO LA NDOA NA ALBINO UNAPONA . mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/imani-potofu-zimbabwe-baadhi-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "IMANI POTOFU-ZIMBABWE -BAADHI YA WAGONJWA WA UKIMWI WANAAMINI UKISHIRIKI TENDO LA NDOA NA ALBINO UNAPONA ."

Post a Comment

Loading...