Loading...
title : MAZISHI YA IGP MSTAAFU PUNDUGU YAFANYIKA DAR
link : MAZISHI YA IGP MSTAAFU PUNDUGU YAFANYIKA DAR
MAZISHI YA IGP MSTAAFU PUNDUGU YAFANYIKA DAR
Maofisa wa Polisi wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa IGP Mstaafu marehemu Samwel Pundugu wakati wa mazishi yake katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akitoa heshima baada ya kuweka shada la maua katika kaburi la IGP Mstaafu marehemu Samwel Pundugu katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Askari Polisi wakishiriki kushusha mwili wa IGP Mstaafu marehemu Samwel Pundugu kaburini wakati wa mazishi yake katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Viongozi mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja na familia ya IGP Mstaafu marehemu Samwel Pundugu baada ya mazishi yake katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Picha na Jeshi la Polisi)
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa IGP Mstaafu marehemu Samwel Pundugu Mji Mwema Kigamboni ambapo alizikwa jana katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiwa na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wastaafu,(kulia) na kushoto kwake ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye wakati wa mazishi ya IGP mstaafu marehemu Samwel Pundugu katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Hivyo makala MAZISHI YA IGP MSTAAFU PUNDUGU YAFANYIKA DAR
yaani makala yote MAZISHI YA IGP MSTAAFU PUNDUGU YAFANYIKA DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MAZISHI YA IGP MSTAAFU PUNDUGU YAFANYIKA DAR mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/mazishi-ya-igp-mstaafu-pundugu.html
0 Response to "MAZISHI YA IGP MSTAAFU PUNDUGU YAFANYIKA DAR"
Post a Comment