Loading...

MIILI ZAIDI YA 125 WALIOFARIKI YAOPOLEWA ZIWA VICTORIA

Loading...
MIILI ZAIDI YA 125 WALIOFARIKI YAOPOLEWA ZIWA VICTORIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MIILI ZAIDI YA 125 WALIOFARIKI YAOPOLEWA ZIWA VICTORIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MIILI ZAIDI YA 125 WALIOFARIKI YAOPOLEWA ZIWA VICTORIA
link : MIILI ZAIDI YA 125 WALIOFARIKI YAOPOLEWA ZIWA VICTORIA

soma pia


MIILI ZAIDI YA 125 WALIOFARIKI YAOPOLEWA ZIWA VICTORIA

Mpaka saa Saa 7:00 Mchana, Septemba 2,2018  Miili zaidi ya 125 imepatikana zoezi la uokoaji linaendelea
Mpaka sasa miili zaidi ya 125, imepatikana katika ajali ya kivuko cha MV. Nyerere kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella na zoezi la uokoaji linaendelea

Saa 6:40 Mchana, Septemba 21: Jeshi la Polisi kufungua Jalada la uchunguzi

Mkuu wa Jeshi la Polisi, Nchini (IGP) Simon Sirro amesema kuwa litafunguliwa Jalada maalum la kuchunguza tukio la kuzama kwa kivuko cha MV. Nyerere jana, Septemba 20 mita chache kabla ya kuwasili katika kisiwa cha Ukara.

IGP Sirro amesema kuwa kwa sasa zoezi la utambuzi wa miili iliyopatikana linaendelea huku pia uokoaji ukiendelea ili kutafuta wengine ambao hawajapatikana.


Hivyo makala MIILI ZAIDI YA 125 WALIOFARIKI YAOPOLEWA ZIWA VICTORIA

yaani makala yote MIILI ZAIDI YA 125 WALIOFARIKI YAOPOLEWA ZIWA VICTORIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MIILI ZAIDI YA 125 WALIOFARIKI YAOPOLEWA ZIWA VICTORIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/miili-zaidi-ya-125-waliofariki.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MIILI ZAIDI YA 125 WALIOFARIKI YAOPOLEWA ZIWA VICTORIA"

Post a Comment

Loading...