Loading...

NIPE FAGIO NA WADAU WA MAZINGIRA WAFANYA USAFI COCO BEACH IKIWA MAANDALIZI YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SEPT 15, 2018

Loading...
NIPE FAGIO NA WADAU WA MAZINGIRA WAFANYA USAFI COCO BEACH IKIWA MAANDALIZI YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SEPT 15, 2018 - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NIPE FAGIO NA WADAU WA MAZINGIRA WAFANYA USAFI COCO BEACH IKIWA MAANDALIZI YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SEPT 15, 2018, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NIPE FAGIO NA WADAU WA MAZINGIRA WAFANYA USAFI COCO BEACH IKIWA MAANDALIZI YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SEPT 15, 2018
link : NIPE FAGIO NA WADAU WA MAZINGIRA WAFANYA USAFI COCO BEACH IKIWA MAANDALIZI YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SEPT 15, 2018

soma pia


NIPE FAGIO NA WADAU WA MAZINGIRA WAFANYA USAFI COCO BEACH IKIWA MAANDALIZI YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SEPT 15, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Nipe Fagio, Bi, Ana Rocha (Kushoto) akimkabidhi fagio Meya wa Jiji la Dar es salaam Mh. Isaya Mwita (Kulia) katika tukio lililofanyika ufukwe wa Coco Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Siku ya Usafi Duniani itakayofanyika tarehe 15 Septemba 2018 kupitia kampeni ya Let’s Do It Tanzania. Picha na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG.
Meya wa Jiji la Dar es salaam Mh. Isaya Mwita  akiongea na wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliojitokeza katika usafi wa mazingira katika ufukwe wa Coco Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Siku ya Usafi Duniani itakayofanyika tarehe 15 Septemba 2018 kupitia kampeni ya Let’s Do It Tanzania. Pembeni ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Nipe Fagio, Bi, Ana Rocha (Kushoto)
Wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliojitokeza katika usafi wa mazingira katika ufukwe wa Coco Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Siku ya Usafi Duniani itakayofanyika tarehe 15 Septemba 2018 kupitia kampeni ya Let’s Do It Tanzania.
Meya wa Jiji la Dar es salaam Mh. Isaya Mwita (Kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Nipe Fagio, Bi, Ana Rocha na Naibu Balozi wa Sweden ambae pia Mkuu wa ushirikiano na maendeleo Mh. Ulf Kallstig wakifanya usafi katika tukio lililofanyika ufukwe wa Coco Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Siku ya Usafi Duniani itakayofanyika tarehe 15 Septemba 2018 kupitia kampeni ya Let’s Do It Tanzania.



Hivyo makala NIPE FAGIO NA WADAU WA MAZINGIRA WAFANYA USAFI COCO BEACH IKIWA MAANDALIZI YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SEPT 15, 2018

yaani makala yote NIPE FAGIO NA WADAU WA MAZINGIRA WAFANYA USAFI COCO BEACH IKIWA MAANDALIZI YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SEPT 15, 2018 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NIPE FAGIO NA WADAU WA MAZINGIRA WAFANYA USAFI COCO BEACH IKIWA MAANDALIZI YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SEPT 15, 2018 mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/nipe-fagio-na-wadau-wa-mazingira.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NIPE FAGIO NA WADAU WA MAZINGIRA WAFANYA USAFI COCO BEACH IKIWA MAANDALIZI YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SEPT 15, 2018"

Post a Comment

Loading...