Loading...

OFISA MTENDAJI MKUU DAWASA MHANDISI LUHEMEJA AANZA KAZI KWA KISHINDO

Loading...
OFISA MTENDAJI MKUU DAWASA MHANDISI LUHEMEJA AANZA KAZI KWA KISHINDO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa OFISA MTENDAJI MKUU DAWASA MHANDISI LUHEMEJA AANZA KAZI KWA KISHINDO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : OFISA MTENDAJI MKUU DAWASA MHANDISI LUHEMEJA AANZA KAZI KWA KISHINDO
link : OFISA MTENDAJI MKUU DAWASA MHANDISI LUHEMEJA AANZA KAZI KWA KISHINDO

soma pia


OFISA MTENDAJI MKUU DAWASA MHANDISI LUHEMEJA AANZA KAZI KWA KISHINDO

Na Ripota Wetu,Globu ya jamii
OFISA Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja ametembelea mradi wa maji wa Chalinze ili kujionea maendeleo ya mradi na kupanga utaratibu wa kuongeza kasi ya ujenzi.
Ametembelea mradi huo ikiwa ni siku yake ya nne tangu kutangazwa rasmi  Septemba  8 mwaka,  amefanya maamuzi ya kuongeza nguvu katika usimamizi na kutaka mkandarasi wa  Kampuni ya OIA ya India kutekeleza kazi usiku na mchana ili kuleta matokeo yanayotarajiwa.
Akizungumzia mradi huo Mhandisi  Luhemeja amesema mradi utazinduliwa Desemba mwaka 2018. 

Leo pia anaendelea na ziara katika miradi ya usambazaji maji.


Hivyo makala OFISA MTENDAJI MKUU DAWASA MHANDISI LUHEMEJA AANZA KAZI KWA KISHINDO

yaani makala yote OFISA MTENDAJI MKUU DAWASA MHANDISI LUHEMEJA AANZA KAZI KWA KISHINDO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala OFISA MTENDAJI MKUU DAWASA MHANDISI LUHEMEJA AANZA KAZI KWA KISHINDO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/ofisa-mtendaji-mkuu-dawasa-mhandisi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "OFISA MTENDAJI MKUU DAWASA MHANDISI LUHEMEJA AANZA KAZI KWA KISHINDO"

Post a Comment

Loading...