Loading...

RC MAKONDA APONGEZA JESHI LA POLISI KWA KUSIMAMIA AMANI NA UTULIVU UCHAGUZI JIMBO LA UKONGA.

Loading...
RC MAKONDA APONGEZA JESHI LA POLISI KWA KUSIMAMIA AMANI NA UTULIVU UCHAGUZI JIMBO LA UKONGA. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RC MAKONDA APONGEZA JESHI LA POLISI KWA KUSIMAMIA AMANI NA UTULIVU UCHAGUZI JIMBO LA UKONGA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RC MAKONDA APONGEZA JESHI LA POLISI KWA KUSIMAMIA AMANI NA UTULIVU UCHAGUZI JIMBO LA UKONGA.
link : RC MAKONDA APONGEZA JESHI LA POLISI KWA KUSIMAMIA AMANI NA UTULIVU UCHAGUZI JIMBO LA UKONGA.

soma pia


RC MAKONDA APONGEZA JESHI LA POLISI KWA KUSIMAMIA AMANI NA UTULIVU UCHAGUZI JIMBO LA UKONGA.

Mwamba wa habari
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam  Mhe. Paul Makonda amelipongeza Jeshi la Polis  kwa kazi kubwa ya kuimarisha hali ya ulinzi na usalama kipindi chote cha  kampeni  za uchaguzi  Jimbo la Ukonga  hadi uchaguzi uliofanyika siku ya Jana na  kumalizika salama pasipo uvunjifu wa amani.



RC Makonda  ametoa pongezi hizo leo alipokutana na  Makamanda na maafisa wa polisi  ambapo amesema anajivunia kuona  uchaguzi wa Ukonga  umemalizika salama bila  fujo wala uvunjifu wa amani. 

Aidha  RC Makonda  amewapongeza wananchi kwa kulinda aman na kulifanya jiji la  Dar es salaam kuzidi kuwa na amani masaa 24.

Pamoja na hayo RC Makonda  amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro  na Kamanda wa Polis Kanda maalumu ya Dar es salaam  Lazaro Mambosasa kwa kuwa na  vijana shupavu, wakakamavu na wenye morali ya kuwatumikia wananchi.


Hivyo makala RC MAKONDA APONGEZA JESHI LA POLISI KWA KUSIMAMIA AMANI NA UTULIVU UCHAGUZI JIMBO LA UKONGA.

yaani makala yote RC MAKONDA APONGEZA JESHI LA POLISI KWA KUSIMAMIA AMANI NA UTULIVU UCHAGUZI JIMBO LA UKONGA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RC MAKONDA APONGEZA JESHI LA POLISI KWA KUSIMAMIA AMANI NA UTULIVU UCHAGUZI JIMBO LA UKONGA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/rc-makonda-apongeza-jeshi-la-polisi-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RC MAKONDA APONGEZA JESHI LA POLISI KWA KUSIMAMIA AMANI NA UTULIVU UCHAGUZI JIMBO LA UKONGA."

Post a Comment

Loading...