Loading...

Tanzania Remix kuchukuriwa hatua za kisheria

Loading...
Tanzania Remix kuchukuriwa hatua za kisheria - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Tanzania Remix kuchukuriwa hatua za kisheria, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Tanzania Remix kuchukuriwa hatua za kisheria
link : Tanzania Remix kuchukuriwa hatua za kisheria

soma pia


Tanzania Remix kuchukuriwa hatua za kisheria

 Naibu waziri wa Wizara ya UchukuziMhandisi Atashasta Nditiye akizungumza na waandishi wa haabri jijini Dar es Salaam leo mara baada ya kutembelea eneo la viwanja vilivyonunuliwa na serikali kwaajili ya wananchi waliopisha upanuzi wa uwanja wa ndege jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Viwanja vya Ndege, Richard Mayongela akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya kutembelea Viwanja vilivyopo Luhanga Kata ya Msongola Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam na kukubali bila kinyongo kutekeleza agizo la  Naibu waziri wa Wizara ya UchukuziMhandisi Atashasta mara baada ya kutoa agizo hilo.

Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii
TANZANIA Remix kuchukuliwa hatua za kisheria kulingana na mkataba unavyosema.

Hayo yamesemwa na Naibu waziri wa Uchukuzi Mhandisi Atashasta Nditiye wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo mara baada ya kutembelea viwanja vya fidia vya wananchi Waliopisha upanuzi wa Uwanja wa ndege jijini Dar es Salaam.

 Nae Mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege  (TAA) Richard Mayongela amesema kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya Tanzania Remix na zitatekelezwa bila kuogopa.

 Pia amesema kuwa "Tanzania Remix tumieni wiki hii moja mliyopewa kwaaajili ya kutekeleza agizo hilo la sivyo mtachukuliwa hatua za kisheria bila kuogopwa"


Pia amewaomba wananchi wawe wavumilivu kwani haki ya Mtu haiwezi kupotea bure ili wananchi waweze kufurahia matunda yao.

 Kiwango cha uvumilivu kwa mamlaka ya Viwanja vya ndege (TAA) umefikia mwisho na sheria zitachukuliwa.


Hivyo makala Tanzania Remix kuchukuriwa hatua za kisheria

yaani makala yote Tanzania Remix kuchukuriwa hatua za kisheria Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Tanzania Remix kuchukuriwa hatua za kisheria mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/tanzania-remix-kuchukuriwa-hatua-za.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Tanzania Remix kuchukuriwa hatua za kisheria"

Post a Comment

Loading...