Loading...

TANZANIA YAPATA MWAKILISHI WA HESHIMA HONG KONG NA MACAO

Loading...
TANZANIA YAPATA MWAKILISHI WA HESHIMA HONG KONG NA MACAO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZANIA YAPATA MWAKILISHI WA HESHIMA HONG KONG NA MACAO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANZANIA YAPATA MWAKILISHI WA HESHIMA HONG KONG NA MACAO
link : TANZANIA YAPATA MWAKILISHI WA HESHIMA HONG KONG NA MACAO

soma pia


TANZANIA YAPATA MWAKILISHI WA HESHIMA HONG KONG NA MACAO

Balozi wa Tanzania nchini China, Mhe. Mbelwa Kairuki kwa pamoja na Bibi Annie Suk-Ching Wu wakisaini Mkataba kumwezesha Bibi Wu kuwa Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania huko Hong Kong na Macao. Tukio hilo lilifanyika kwenye Ubalozi wa Tanzania jijini Beijing, China na kushuhudiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Adolf Mkenda pamoja viongozi wengine ambao wapo nchini China kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya Afrika na China (FOCAC). 
Balozi Mbelwa na Bibi Wu wakibadilishana mkataba mara baada ya kuusaini 
Mhe. Waziri Mahiga akitoa hotuba kumpongeza Bibi Wu kwa kukubali kuiwakilisha Tanzania kwenye maeneo hayo na kumtaka kuiwakilisha vema nchi 
Mhe. Waziri na viongozi wengine wakisubiri kuanza kwa ratiba 
Mhe. Waziri Mahiga akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Mbelwa na Bibi Wu mara baada ya kushuhudia uwekwaji saini wa mkataba wa kumwezesha Bibi Wu kuiwakilisha Tanzania Hong Kong na Macao
Picha ya pamoja na viongozi na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo 
Katibu Mkuu, Prof. Mkenda akiteta jambo na Mhe. Balozi Mbelwa 
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australia, Bibi Justa Nyange akiwa na Maafisa ambao walikuwepo kushuhudia uwekwaji saini wa mkataba wa kumwezesha Bibi Wu kuwa Mwakilishi wa Heshima kwenye majimbo ya Hong Kong na Macao ya nchini China 


Hivyo makala TANZANIA YAPATA MWAKILISHI WA HESHIMA HONG KONG NA MACAO

yaani makala yote TANZANIA YAPATA MWAKILISHI WA HESHIMA HONG KONG NA MACAO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANZANIA YAPATA MWAKILISHI WA HESHIMA HONG KONG NA MACAO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/tanzania-yapata-mwakilishi-wa-heshima.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TANZANIA YAPATA MWAKILISHI WA HESHIMA HONG KONG NA MACAO"

Post a Comment

Loading...