Loading...

BODA BODA 100 MBAGALA WAHITIMU MAFUNZO YA UDEREVA , WALIA NA KAMATAKAMATA YA TRAFFIKI.

Loading...
BODA BODA 100 MBAGALA WAHITIMU MAFUNZO YA UDEREVA , WALIA NA KAMATAKAMATA YA TRAFFIKI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BODA BODA 100 MBAGALA WAHITIMU MAFUNZO YA UDEREVA , WALIA NA KAMATAKAMATA YA TRAFFIKI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BODA BODA 100 MBAGALA WAHITIMU MAFUNZO YA UDEREVA , WALIA NA KAMATAKAMATA YA TRAFFIKI.
link : BODA BODA 100 MBAGALA WAHITIMU MAFUNZO YA UDEREVA , WALIA NA KAMATAKAMATA YA TRAFFIKI.

soma pia


BODA BODA 100 MBAGALA WAHITIMU MAFUNZO YA UDEREVA , WALIA NA KAMATAKAMATA YA TRAFFIKI.





Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke Almishi Hazali , akizungumza na wahitimu wa mafunzo ya Usalama barabarani,hawapo pchani .


Na. John Luhende 
Mwamba wa habari
Madereva  na wamiliki wa Boda boda  kata ya Kilungule  Mbagala Manispaa ya Temeke  wamaetakiwa kufuata sheri a za barabarani  ili kupunguza ajali zinazo sababishwa na uzembe  na kutotii sheria.

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke  Almishi Hazali ,alipo kuwa mgeni rasmi katika kilele cha mafunzo kwa madereva Pikipiki kata ya kilungule  na kuwataka kuiona kazi ya kuwa nikazi kama kazi nyingine.

“Kuendesha Bodaboda niajajira  na nikazi  kama kazi nyingine Rais wetu Dkt John Pombe Magufuli anataka tufanye kazi na amesema hapa kazi tu ikiwemo  ninyi ,hayo malalamiko  kuhusu polisi  sisi chama kama wasimamizi wa Serikali tutaya fikisha kwa DC naye atazungumza nao” alisema.
Kwaupande wake meneja Operesheni wa   kampuni ya TAMOBA  Erasto Lahi , iliyopewa dhamana ya kufunga mfumo maalumu wa kuzuia na kudhibiti wizi wa pikipiki ambayo pia imetoa mafunzo hayo kwa  madereva 100 waliohitimu leo, amesema tangu wameanza kutoa mafunmzo haya  kumekuwa na mabadiliko kwa  ambapo matukio ya ajali za pikipiki zimepungua .

Naye  Inspekta  Philipina,  Masidizi RTO Temeke   amewata madereva hao kufuata sheria za sheria za usalama barabarani  na kusema kuwa atazifdanyia kazi kero zao na kueleza kuwa askari wasikuwa waaminifu waliokuwa wanalichafua jeshihilo wamesha ondoshwa.

Nao  Madereva hao  kutokaka  chama  cha wamiliki na Madereva Pikipiki mkoa wa Dar es salaam CMPD wilaya ya Temeke,wakitoakiliochao kwa  mkuu huyo nao wamesema Kuna baadhi ya Askali wasio waaminifu wamekuwa wakiwaonea  kwa kwalengo la kutaka Rushwa hata kama hawana makosa wamekuwa wakiwanyanyasa.

‘’Askari wamekuwa wanavaakiraia  na kutufuata hadi nyumbani  mimi walinipiga mimi nja mke wangu pikipiki ilikuwa ndani wakitoa wakaipeleka kituoni  wakaniweka  ndani sikumbili naomba mkuu na sisi ni raia wema wasitufanyie  hayo mke wangu hadi leo anaugulia maumivu  kwa kipigo hicho”. Alisema mmoja wa boda boda hao.








Hivyo makala BODA BODA 100 MBAGALA WAHITIMU MAFUNZO YA UDEREVA , WALIA NA KAMATAKAMATA YA TRAFFIKI.

yaani makala yote BODA BODA 100 MBAGALA WAHITIMU MAFUNZO YA UDEREVA , WALIA NA KAMATAKAMATA YA TRAFFIKI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BODA BODA 100 MBAGALA WAHITIMU MAFUNZO YA UDEREVA , WALIA NA KAMATAKAMATA YA TRAFFIKI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/boda-boda-100-mbagala-wahitimu-mafunzo.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "BODA BODA 100 MBAGALA WAHITIMU MAFUNZO YA UDEREVA , WALIA NA KAMATAKAMATA YA TRAFFIKI."

Post a Comment

Loading...