Loading...

DC, Uvinza awataka Madiwani kusikiliza kero za wananchi.

Loading...
DC, Uvinza awataka Madiwani kusikiliza kero za wananchi. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC, Uvinza awataka Madiwani kusikiliza kero za wananchi., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC, Uvinza awataka Madiwani kusikiliza kero za wananchi.
link : DC, Uvinza awataka Madiwani kusikiliza kero za wananchi.

soma pia


DC, Uvinza awataka Madiwani kusikiliza kero za wananchi.



Mwambawahabari
Madiwani wa halmashauri ya Uvinza mkoani Kigoma wametakiwa kutumie muda na raslimali za serikali kuleta maendeleo, kutatua kero na malalamiko ya Wananchi badala ya kutumia raslimali kwa mambo yasiyo na tija.


Hayo yamesemwa na Mkuu wa wilaya ya Uvinza Mh. Mwanamvua Hoza Mrindoko alipohudhuria Kwenye kikao Cha Baraza la madiwani wa Halmashauri hiyo na kuwasisitiza kutanguliza mbele maslahi ya taifa na ya wananchi wa Uvinza.


" Hakikisheni kuwa  mnawatumikia wananchi wa Uvinza na kutanguliza mbele maslahi yao pamoja na kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi  CCM"Amesema Mh.Mrindoko.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya uvinza Mh.Jackson  Mateso ameshukuru Baraza la madiwani na wajumbe wake kwa kufanya  uchaguzi wa makamu Mwenyekiti na kumaliza zoezi Hilo vizuri na  kwa amani.


Hivyo makala DC, Uvinza awataka Madiwani kusikiliza kero za wananchi.

yaani makala yote DC, Uvinza awataka Madiwani kusikiliza kero za wananchi. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC, Uvinza awataka Madiwani kusikiliza kero za wananchi. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/dc-uvinza-awataka-madiwani-kusikiliza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC, Uvinza awataka Madiwani kusikiliza kero za wananchi."

Post a Comment

Loading...