Loading...

DKT MAFUMIKO AMEWAASA WADAU WA KEMIKALI KUSIMAMIA USALAMA WA KEMIKALI

Loading...
DKT MAFUMIKO AMEWAASA WADAU WA KEMIKALI KUSIMAMIA USALAMA WA KEMIKALI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DKT MAFUMIKO AMEWAASA WADAU WA KEMIKALI KUSIMAMIA USALAMA WA KEMIKALI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DKT MAFUMIKO AMEWAASA WADAU WA KEMIKALI KUSIMAMIA USALAMA WA KEMIKALI
link : DKT MAFUMIKO AMEWAASA WADAU WA KEMIKALI KUSIMAMIA USALAMA WA KEMIKALI

soma pia


DKT MAFUMIKO AMEWAASA WADAU WA KEMIKALI KUSIMAMIA USALAMA WA KEMIKALI

MKEMIA Mkuu wa Serikali, Dkt Fidelice Mafumiko leo amefungua semina ya wadau wa uhifadhi, udhibiti na usimamizi wa kemikali hatarishi hapa nchini.

Akizungumza na wadau hao jijini Dar es Salaam leo amesema kuwa semina hiyo inatawakumbusha na kuwajenge uwezo wadau wa usimamizi na udhibiti wa kemikali hapa nchini katika kutekeleza wajibu wao kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2003.

Pia amewaasa kutunza na kusimamia kwa usalama kemikali hatarishi ambazo zinaweza kuleta madhara kwa binadamu na mazingira ndani ya bandari. 

“Nawasihi msikilize kwa makini mafunzo haya ili utakapoanza kwenda kwenye ukaguzi uende kutekeleza matakwa ya Sheria na kanuni zake na sio kwa hiari yako. Kuna vifungu vya sheria ambavyo vinakuhusu kama mkaguzi na utatakiwa kuwajibika pale utakapoenda kinyume chake. Sheria inaainisha wajibu na majukumu ya mkaguzi na pia mkaguliwa, hivyo mnapaswa kuwa makini na kuelewa majukumu na wajibu wenu". amesema Dkt. Mafumiko














Mkemia  Mkuu wa Serikali, Fidelice Mafumiko akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa kuufungua semina ya mafunzo ya wa wadau mbalimbali wa usimamizi na udhibiti wa kemikali hapa nchini.
 Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi na udhibiti wa kemikali, Daniel Ndiyo akizungumza wakati wa kuufungua semina ya mafunzo ya wa wadau mbalimbali wa usimamizi na udhibiti wa kemikali hapa nchini.
 Baadhi wadau wakiwa katika mafunzo ya wa wadau mbalimbali wa usimamizi na udhibiti wa kemikali hapa nchini. 
 Mkemia  Mkuu wa Serikali, Fidelice Mafumiko akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua semina ya wadau wa uhifadhi usimamizi na udhibiti wa kemikali hapa nchini.
Picha na Avila Kakingo,Globu ya jamii.


Hivyo makala DKT MAFUMIKO AMEWAASA WADAU WA KEMIKALI KUSIMAMIA USALAMA WA KEMIKALI

yaani makala yote DKT MAFUMIKO AMEWAASA WADAU WA KEMIKALI KUSIMAMIA USALAMA WA KEMIKALI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DKT MAFUMIKO AMEWAASA WADAU WA KEMIKALI KUSIMAMIA USALAMA WA KEMIKALI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/dkt-mafumiko-amewaasa-wadau-wa-kemikali.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DKT MAFUMIKO AMEWAASA WADAU WA KEMIKALI KUSIMAMIA USALAMA WA KEMIKALI"

Post a Comment

Loading...