Loading...
title : DKT.CHAULA:HAKIKISHENI VITUO VYA AFYA VYOTE NCHINI VINA HATI MILIKI
link : DKT.CHAULA:HAKIKISHENI VITUO VYA AFYA VYOTE NCHINI VINA HATI MILIKI
DKT.CHAULA:HAKIKISHENI VITUO VYA AFYA VYOTE NCHINI VINA HATI MILIKI
Na. Angela Msimbira OR-TAMISEMI KIGOMA
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Zainabu Chaula amewaagiza viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini kuhakikisha vituo vyote vya afya vinapatiwa hati miliki.
Dkt. Chaula ameyasema hayo alipokuwa akikagua ukarabati na ujenzi wa kituo cha afya cha Mabamba kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo, Mkoani Kigoma katika ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ukarabati na ujenzi wa vituo vya afya nchini leo Mkoani Kigoma.
Amesema kuwa Serikali imetumia gharama kubwa katika ujenzi wa miundombinu ya afya nchini, hivyo Mamlaka za Serikali za Mitaa hazinabudi kuhakikisha zahanati na vituo vyote vya afya nchini vinakuwa na hati miliki.
“Viongozi wamekuwa wakitoa maagizo kuhusu uwepo wa hati miliki kwa majengo ya Serikali lakini bado baadhi ya watendaji wa Mamlaka husika hawatekelezi maagizo hayo, hivyo nawaagiza viongozi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha kila Zahanati, Kituo cha afya kinakuwa na Hati Miliki.” Anasisitiza Dkt. Chaula.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Zainabu Chaula akikagua ukarabati na ujenzi wa chumba cha upasuaji katika kituo cha afya cha Mabamba kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma katika ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ukarabati na ujenzi wa vituo vya afya nchini leo Mkoani Kigoma.
Jengo la Wodi ya wazazi lililopo katika kituo cha afya cha Mabamba kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Zainabu Chaula akikagua ukarabati na ujenzi wa chumba cha upasuaji na Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Bw. Rashid Mchatta (katikati) wakikagua chumba cha upasuaji katika kituo cha afya cha Mabamba kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma katika ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ukarabati na ujenzi wa vituo vya afya nchini leo Mkoani Kigoma.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Zainabu Chaula amewaagiza viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini kuhakikisha vituo vyote vya afya vinapatiwa hati miliki.
Dkt. Chaula ameyasema hayo alipokuwa akikagua ukarabati na ujenzi wa kituo cha afya cha Mabamba kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo, Mkoani Kigoma katika ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ukarabati na ujenzi wa vituo vya afya nchini leo Mkoani Kigoma.
Amesema kuwa Serikali imetumia gharama kubwa katika ujenzi wa miundombinu ya afya nchini, hivyo Mamlaka za Serikali za Mitaa hazinabudi kuhakikisha zahanati na vituo vyote vya afya nchini vinakuwa na hati miliki.
“Viongozi wamekuwa wakitoa maagizo kuhusu uwepo wa hati miliki kwa majengo ya Serikali lakini bado baadhi ya watendaji wa Mamlaka husika hawatekelezi maagizo hayo, hivyo nawaagiza viongozi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha kila Zahanati, Kituo cha afya kinakuwa na Hati Miliki.” Anasisitiza Dkt. Chaula.

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Zainabu Chaula akikagua ukarabati na ujenzi wa chumba cha upasuaji katika kituo cha afya cha Mabamba kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma katika ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ukarabati na ujenzi wa vituo vya afya nchini leo Mkoani Kigoma.
Jengo la Wodi ya wazazi lililopo katika kituo cha afya cha Mabamba kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Zainabu Chaula akikagua ukarabati na ujenzi wa chumba cha upasuaji na Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Bw. Rashid Mchatta (katikati) wakikagua chumba cha upasuaji katika kituo cha afya cha Mabamba kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma katika ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ukarabati na ujenzi wa vituo vya afya nchini leo Mkoani Kigoma.
Hivyo makala DKT.CHAULA:HAKIKISHENI VITUO VYA AFYA VYOTE NCHINI VINA HATI MILIKI
yaani makala yote DKT.CHAULA:HAKIKISHENI VITUO VYA AFYA VYOTE NCHINI VINA HATI MILIKI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala DKT.CHAULA:HAKIKISHENI VITUO VYA AFYA VYOTE NCHINI VINA HATI MILIKI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/dktchaulahakikisheni-vituo-vya-afya.html
0 Response to "DKT.CHAULA:HAKIKISHENI VITUO VYA AFYA VYOTE NCHINI VINA HATI MILIKI"
Post a Comment