Loading...

MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA YAWAKUTANISHA MADAKTARI BINGWA (PHYSICIAN) WATAJA SABU YA ONGEZEKO LA MAGOJWAHAYO.

Loading...
MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA YAWAKUTANISHA MADAKTARI BINGWA (PHYSICIAN) WATAJA SABU YA ONGEZEKO LA MAGOJWAHAYO. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA YAWAKUTANISHA MADAKTARI BINGWA (PHYSICIAN) WATAJA SABU YA ONGEZEKO LA MAGOJWAHAYO., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA YAWAKUTANISHA MADAKTARI BINGWA (PHYSICIAN) WATAJA SABU YA ONGEZEKO LA MAGOJWAHAYO.
link : MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA YAWAKUTANISHA MADAKTARI BINGWA (PHYSICIAN) WATAJA SABU YA ONGEZEKO LA MAGOJWAHAYO.

soma pia


MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA YAWAKUTANISHA MADAKTARI BINGWA (PHYSICIAN) WATAJA SABU YA ONGEZEKO LA MAGOJWAHAYO.






Na.John Luhende 
Mwamba wa habari
Watanzania wameshauriwa  kuwa nautaratibu wa kufanya  mazoezi na  shughuli mabalimbali za kushughulisha mwili , kuzingatia  na kujiepusha na vyakula na vinywaji  vinavyo chochea  magonjwa yasiyo ya kuambukiza.


  Ushauri huo umetolewa jijini Dar es salaam na   Kaimu mkurugenzi  huduma za kinga  kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii jinsia Wazee na Watoto  Dakta  Leonard Subi ,  wakati akifungua mkutano wa  madaktari bingwa (physician Tanzania  ) APHYTA, na kueleza kuwa  kumekuwa na ongezeka la wagonjwa  wa magonjwa yasiyo  ya kuambukiza kitu ambacho  kimechangiwa na mfumo wa maisha .




‘’Hivi sasa  magojwa yasiyo ya kuambukiza  inazidi kuongezeka na kuathri watu wengi  Duniani nahapa kwetu Tanzania  imefikia 142,000 wanapoteza maisha  kila mwaka  kutokana  na magonjwa hayo ikiwemo ajali, kwahiyo mkutano huu ni muhimu sana kwa wataalamu wetu wanapojadiliana kuhusu magonjwa hayo’’ amesema.





Aidha  amevitaka vyama vyote vya  Madaktari( Association) pamoja na zingine zianshughulika na magonjwa yasiyo ya kuambukiza  kuhakikisha zina wafikia watu wengi hasa vijijini na katika ngazi za vituo vya Afya , hospitali za wilaya na MIkoa  ili waweze kupata huduma muhimu za magonjwa ya kuambukiza.

Kwa  upande waake  Rais wa  Chama cha Madaktari bingwa (Physician Tanzania) Dakta Meshack Shimwela ameipongeza serikali kwa  sera nzuri za afya  na kitaka kuimarisha  miundo mbinuya afya  pamoja na kuongeza utoaji elimu kwa wananchi kuhusu  magonjwa yasi ya kuambukiza .

‘’Ukiangalia sera za nchi kuhusu Afya ziko vizuri  na tumeona mabadiliko maengi  na bajeti ya wizara imeongezeka  lakini changamoto iko katika utekelezaji kwenye afya ya msingi hapa ndipo tunahitaji nguvu  tuna punguzaje  wato wetu wana hitaji kupata muda wa kucheza watu wapate muda wa kutembea tuanapojenga barabarazetu ziwe na sehemu ya waenda kwa miguu ziwe nyingi na zipewe kipaumbele’’ amesema

Naye dakta  Kaushik Ramayan, ambaye ni mmoja wa  waanzilishi wa chama hicho  ametaja sabau mojawapo ambazo zimechangia ongezeko la magonjwa hayo kuwa nipamoja na mtindo wa maisha wa kimagharibi ambao kwa sasa umeshika kasi  katika maduka makubwa hapa jijini  ,na kuwataka  watanzania kutumia vyakula vya asili ili kujiepusha ma magonjwa hayo.

Hatahivyo  Dakta Emmanueli Kisali Ndosi ,ameeleza mkuwa  mtindo wa maisha wanao ishi vijana unakuta hatavipindi vya kuelemisha katika Televisheni hawatazami wanaanga biashara zaidi  hawana elimu kuhusu vyakula vya mafuta matokeo yake wanapata magojwa hayo na serikali inatumiagharama kubwa sana , wazazi wnatakiwa kuelimisha wato wao kuhusu ukaji .

Chamacha Madaktari Bingwa (Physician) kilianzishwa nwaka  2008 na kilikuwa na wanachama wachache ambapo kilianza na madaktari 30 na kwa sasa  kinawanachama wengi zaidi, na lengo kilianzishwa kwa lengo la  kuwa na ushirikiano katika mawazo baina ya Madaktari bingwa ,kuwa na mtandao  wa kusaidiana,na kuongeza ujuzi Professional development.







 


Hivyo makala MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA YAWAKUTANISHA MADAKTARI BINGWA (PHYSICIAN) WATAJA SABU YA ONGEZEKO LA MAGOJWAHAYO.

yaani makala yote MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA YAWAKUTANISHA MADAKTARI BINGWA (PHYSICIAN) WATAJA SABU YA ONGEZEKO LA MAGOJWAHAYO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA YAWAKUTANISHA MADAKTARI BINGWA (PHYSICIAN) WATAJA SABU YA ONGEZEKO LA MAGOJWAHAYO. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/magonjwa-yasiyo-ya-kuambukiza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA YAWAKUTANISHA MADAKTARI BINGWA (PHYSICIAN) WATAJA SABU YA ONGEZEKO LA MAGOJWAHAYO."

Post a Comment

Loading...