Loading...

RC MAKONDA AIBUKIA KIMARA MWISHO KUJIONEA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KUHUSU MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI WA DART

Loading...
RC MAKONDA AIBUKIA KIMARA MWISHO KUJIONEA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KUHUSU MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI WA DART - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RC MAKONDA AIBUKIA KIMARA MWISHO KUJIONEA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KUHUSU MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI WA DART, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RC MAKONDA AIBUKIA KIMARA MWISHO KUJIONEA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KUHUSU MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI WA DART
link : RC MAKONDA AIBUKIA KIMARA MWISHO KUJIONEA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KUHUSU MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI WA DART

soma pia


RC MAKONDA AIBUKIA KIMARA MWISHO KUJIONEA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KUHUSU MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI WA DART

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Paul Makonda akizungumza na Wakazi wa Kimara mara baada ya kutembelea kituo cha Mabasi ya Mwendokasi na kujionea kero na changamoto za mradi huo na kuahidi kwenda kuzungumza na Waziri wa Tamisemi, Suleimani Jaffo ili kulitafutia ufumbuzi wa haraka.
  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Paul Makonda  akitembelea eneo la kituo na kujionea Changamoto zilizopo
  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Paul Makonda , akifungua geti lililofungwa  eneo la Kimara Mwisho Wananchi wasipite na kuamuru litumike kuanzia leo ili kiupunguza kero kwa Wananchi
 Wananchi waliokuwa wamefurika eneo la Kimara kusubiri Mabasi ya Mwendokasi asubuhi ya leo.
 Abiria wakiwa wamebanana  ndani ya basi la Mwendokasi  kutokana na uchache wa mabasi
 Wakazi wa Mbezi na Kimara wakiwa wamejazana kumsikiliza mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam eneo la Kimara Mwisho



Hivyo makala RC MAKONDA AIBUKIA KIMARA MWISHO KUJIONEA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KUHUSU MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI WA DART

yaani makala yote RC MAKONDA AIBUKIA KIMARA MWISHO KUJIONEA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KUHUSU MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI WA DART Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RC MAKONDA AIBUKIA KIMARA MWISHO KUJIONEA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KUHUSU MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI WA DART mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/rc-makonda-aibukia-kimara-mwisho.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RC MAKONDA AIBUKIA KIMARA MWISHO KUJIONEA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KUHUSU MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI WA DART"

Post a Comment

Loading...