Loading...

WANANCHI WA MKURANGA WALALAMIKIA KUINGIA KWA MADADA POA

Loading...
WANANCHI WA MKURANGA WALALAMIKIA KUINGIA KWA MADADA POA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WANANCHI WA MKURANGA WALALAMIKIA KUINGIA KWA MADADA POA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WANANCHI WA MKURANGA WALALAMIKIA KUINGIA KWA MADADA POA
link : WANANCHI WA MKURANGA WALALAMIKIA KUINGIA KWA MADADA POA

soma pia


WANANCHI WA MKURANGA WALALAMIKIA KUINGIA KWA MADADA POA

WANANCHI wa Kata Magawa wilayani Mkuranga wamelalamikia kuingia kwa wanawake wanaouza miili yao (Madada poa) kwa kutumia mazao.

Wananchi hao wamesema ujio wa wanawake ni katika kipindi cha mauzo ya msimu wa Korosho na Nazi ndio wanaingia na kuanza kufanya biashara ya ngono.

Wamesema wanawake hao wanachukua debe moja ya kurosho kwa wanaume kwa ajili ya kufanya ngono au kutoa Nazi 10 hadi 15.

Akizungumza na Michuzi Blog Mariam Hamis amesema kuwa ujio wanawake hao imekuwa kero katika ndoa zao.

Amesema kuwa serikali ya wilaya isipowatoa watakwenda wenyewe kupambana nao hata kwa mapanga.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkuranga Juma Abeid amesema kuwa suala hilo kwa Mkuu wa Wilaya.

Abeid amesema amesema ujio wadada hao ni changamoto katika kuambukizana na magonjwa. 
Amesema kila msimu wa korosho wanawake hao wamekuwa wakiweka kambi.Mwenyekiti wa halmashaul ya Wilaya Mkuranga na Diwani wa kata ya Magawa,Juma Abed akizungumza na michuzi blog juu ya changamoto ya uwepo wa dada poa katika kata yake.
Picha na Emmaniel Massaka wa Global ya jamii)
Wakazii wa kata ya Magawa Wilaya ya mkuranga mkoa Pwani wakizungumza na michuzi blog juu ya ambapo wameiomba serikali iwasaidie kuondoa dadapoa abapo huwa napiga gambi kilaunapofika msimu wa wa korosho.


Hivyo makala WANANCHI WA MKURANGA WALALAMIKIA KUINGIA KWA MADADA POA

yaani makala yote WANANCHI WA MKURANGA WALALAMIKIA KUINGIA KWA MADADA POA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WANANCHI WA MKURANGA WALALAMIKIA KUINGIA KWA MADADA POA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/wananchi-wa-mkuranga-walalamikia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WANANCHI WA MKURANGA WALALAMIKIA KUINGIA KWA MADADA POA"

Post a Comment

Loading...