Loading...

WAVUVI NA MAMALISHE WAMSHUKURU RAIS DKT. MAGUFULI KWA MSAADA ALIOWAPATIA .

Loading...
WAVUVI NA MAMALISHE WAMSHUKURU RAIS DKT. MAGUFULI KWA MSAADA ALIOWAPATIA . - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAVUVI NA MAMALISHE WAMSHUKURU RAIS DKT. MAGUFULI KWA MSAADA ALIOWAPATIA ., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAVUVI NA MAMALISHE WAMSHUKURU RAIS DKT. MAGUFULI KWA MSAADA ALIOWAPATIA .
link : WAVUVI NA MAMALISHE WAMSHUKURU RAIS DKT. MAGUFULI KWA MSAADA ALIOWAPATIA .

soma pia


WAVUVI NA MAMALISHE WAMSHUKURU RAIS DKT. MAGUFULI KWA MSAADA ALIOWAPATIA .




 Na John Luhende 
Mwamba wa habari
Wavuvi ,wafanyabiashara na  Mama Lishe wa Soko la Feri  wamemshukuru  Rais wa Jamhuri ya muungano  wa Tanzania Dkt John  Pombe Magufuli na Mke wake Mama Janeth Magufuli kwa mchango wao  waliowapatia kwaajili ya kujenga ofis na kuendeleza biashara zao.
 Akizungumza na waandishi wa habari  Mwenyekiti wa bodi ya soko feri Henry  Sato Massaba,  kwa niabaya wavuvi hao ametoa shukrani hizo  na kusema kuwa  Rais Magufuli alikuwa katika matembezi yake  akifanya mazoezi  juzi alizungumza na wavuvi na kuwaahidi kuwapa Pesa shilingi million 20  huku mkewe akiahidi kutoa shilingi Milion 5 kwa mamakishe wa zone namba 8   na kusema kuwa ahadi hiyo ameitimiza na kwa kutoa pesa hizo.
 Mtakumbuka Rais alikuja mwaka 9 December 2015 baada ya kuapishwa  alifanya usafi katika zone hiyo hiyo na wadau wetu walimlilia kilio na juzi alitoa hizo pesa kwa  vikundi vyetu vya  (UWAWAKI)  na Mkewe naye alitoa kwaajili ya mamalishe tunamshukuru sana kwa mchango huo na upendo aliotuonesha , na kusimamia mabadilko katika soke hili ambalo ni lakimataifa na tunapigania kilasiku liwe na hadhi yakimataifa” alisema

Kwaupande wake  mwenyekiti wa zone namba tatu ,Omary Mwinyi  makungu ambaye pia ni mjumbe wa kamati ya wadau  ,amesema kupatikana  kwa fedha hizo  kutasaidia  kwani wamehangaika  muda mrefu na wanamshukuru kwa kutambua mchango wao na kusema kuwa wao ndiyo walipambana  hadi kuongezeka kwa mapato ya soko hilo kwa kupiga vita watu waliokuwa wakijinufaisha wao waowenyewe  ambapo zamani makusanyo yalikuwa  shilingi million 18  na sasa million 100.

‘’Hilisoko baada ya kupambana tuka pata bodi  tumeanza kuyaona mafanikio na tuna mshukuru waziri Jafo , soko halikuwa hata na Akaunti  akaagiza ikafunguliwa na sasa hataukarabati wa soko na ujenzi wa miundo mbinu inafanyika ‘’ alisema .


Amesema soko la Feri ni moja ya masoko machache mazuri  barani Afrika nila pili kwa ukubwa ukitoka lilie la Senegal  lakini wenzetu wanaendesha vizuri soko lao na mapato yake yanazunguka hapo hapo lakini sisi haikuwa hivyo baada ya sisi kupigania tuka itwa wezi ,ila nashukuru wametuelewa sasa wezi na wadokozi hawapo tena .

Aidha ameomba kupatiwa mafunzo  kwa kikundi cha ulinzi shirikishi maana kimetumika muda mrefu na kimesaidia sana na kusema kuwa pamoja na kwamba kuna ulinzi kutoka SUMA JKT  lakini wasi sahaulike.

Naye  Ashura Seif Nanjonga ,wa kikundi cha Baba na Mamalishe UBAMALE akizungumza kwa niaba ya Mama na Baba lishe waliopewa shilingi million tano amemshukuru Mama Janeth Magufuli  na mumewe  kwa moyo wao walio unesha kwa kuwapenda wanyonge .

“ Pesa hizo tumeziweka Bank wakati zinakuja kiongozi waetu hakuwepo ila sasa asharudi na pesa hiyo tutaanza kuitumia kama tulivyo kuwa tumepanga hapo awali , katika kikundi chetu tuko  watu 50  na hatuna hata mabanda tuko juani hizi pesa zitatusaidia  angalau hata kwa kuweka kivuli hata miamvuli ya kujikinga na jua na mvua’’alisema



Hivyo makala WAVUVI NA MAMALISHE WAMSHUKURU RAIS DKT. MAGUFULI KWA MSAADA ALIOWAPATIA .

yaani makala yote WAVUVI NA MAMALISHE WAMSHUKURU RAIS DKT. MAGUFULI KWA MSAADA ALIOWAPATIA . Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAVUVI NA MAMALISHE WAMSHUKURU RAIS DKT. MAGUFULI KWA MSAADA ALIOWAPATIA . mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/wavuvi-na-mamalishe-wamshukuru-rais-dkt.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "WAVUVI NA MAMALISHE WAMSHUKURU RAIS DKT. MAGUFULI KWA MSAADA ALIOWAPATIA ."

Post a Comment

Loading...