Loading...

DC Mjema awashauri Wazazi kunyonyesha watoto wao wawe na Lishe bora.

Loading...
DC Mjema awashauri Wazazi kunyonyesha watoto wao wawe na Lishe bora. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC Mjema awashauri Wazazi kunyonyesha watoto wao wawe na Lishe bora., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC Mjema awashauri Wazazi kunyonyesha watoto wao wawe na Lishe bora.
link : DC Mjema awashauri Wazazi kunyonyesha watoto wao wawe na Lishe bora.

soma pia


DC Mjema awashauri Wazazi kunyonyesha watoto wao wawe na Lishe bora.




Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema akimkabidhi mkataba wa lishe Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Jumane Shauri  Dar es Salaam leo ,wakati alipokuwa akitiliana saini mkataba huo kwa Wilaya ya Ilala Picha na Heri Shaaban

Na Heri Shaaban
Mwambawahabari
MKUU wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema amewashauri Wazazi Wilayani Ilala kunyonyesha watoto wao ili wawe na lishe bora.

Mjema aliyasema hayo Dar es Salaam leo wakati wa  kumsainisha mkataba Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala katika kutekeleza afua za lishe Manispaa Ilala.

"Wazazi nawaomba pindi mnapojifungua wanyonyesheni watoto wenu maziwa mpaka mda ufike msiwakatishe ni halali yao kwa ajili ya afya bora ya mtoto"alisema  Mjema.

Aidha pia aliwaka wananchi wake kula mro kamili na vyakula vya zamani kuachana na vyakula vya kisasa.

Alisema katika nchi yetu Tanzania inaitajika Taifa bora lipatikane kwa kuwa na afya bora aliagiza elimu itolewe shuleni,katika nyumba za ibada ili kukabiliana na utapiamlo.

Aidha  amewataka  wajumbe wa Kamati ya Lishe ndani ya Halmashauri ya Ilala  kusimamia na kuakikisha wanapambana  na changamoto za lishe duni .

 Amewashauri wazazi kuakikisha wanawapa watoto wao haki za msingi katika lishe  kina mama wanatakiwa wanawapa watoto wao virutubisho vizuri.

 Alisema halmashauri ndio kitovu cha utekelezaji hapa nchini na ili kuweza kukabiliana na utapiamlo inatakiwa tuwe  na mikakati na mipango thabiti kwa kutoa rasilimali fedha na watu na kila mdau kuonyesha bayana mchango wake katika kukabiliana na utapia mlo.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala  Jumanne Shauri amesema upungufu wa lishe mwilini unaweza kuleta madhara mbalimbali amewataka wananchi  wa ilala kura mro kamili kwa afya bora.

Mwisho


Hivyo makala DC Mjema awashauri Wazazi kunyonyesha watoto wao wawe na Lishe bora.

yaani makala yote DC Mjema awashauri Wazazi kunyonyesha watoto wao wawe na Lishe bora. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC Mjema awashauri Wazazi kunyonyesha watoto wao wawe na Lishe bora. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/dc-mjema-awashauri-wazazi-kunyonyesha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC Mjema awashauri Wazazi kunyonyesha watoto wao wawe na Lishe bora."

Post a Comment

Loading...