Loading...

NAIBU MEYA WA MANISPAA YA ILALA AKUTANA NA WALEMAVU KATA YA VINGUNGUTI,AWAPA MIKAKATI MIZITO.

Loading...
NAIBU MEYA WA MANISPAA YA ILALA AKUTANA NA WALEMAVU KATA YA VINGUNGUTI,AWAPA MIKAKATI MIZITO. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NAIBU MEYA WA MANISPAA YA ILALA AKUTANA NA WALEMAVU KATA YA VINGUNGUTI,AWAPA MIKAKATI MIZITO., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NAIBU MEYA WA MANISPAA YA ILALA AKUTANA NA WALEMAVU KATA YA VINGUNGUTI,AWAPA MIKAKATI MIZITO.
link : NAIBU MEYA WA MANISPAA YA ILALA AKUTANA NA WALEMAVU KATA YA VINGUNGUTI,AWAPA MIKAKATI MIZITO.

soma pia


NAIBU MEYA WA MANISPAA YA ILALA AKUTANA NA WALEMAVU KATA YA VINGUNGUTI,AWAPA MIKAKATI MIZITO.




Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala ambaye pia ni Diwani wa kata ya  Vingunguti Omari kumbilamoto, akizungumza na  walemavu wa kata ya Vingunguti katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Mashujaa(Picha zote na John Luhende)



Na John Luhende
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala ambaye pia ni Diwani wa kata ya  Vingunguti Omari kumbilamoto,  amekutana  na walevu wa kata  hiyo kwalengo la kuwapa elimu  kuhusu fursa za kiuchumi, zinazotolewa na Manispaa ya Ilala ikiwemo mikopo  ya asilimia mbili ambayo inatolewa na halmashauri hiyo.

Akizungumza katika  mkutano huo  Kumbilamoto, amewataka walemavu hao kujitokeza kwa wingi kuchukua mikopo ya walemavu inayotolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala  ili waweze kujiendeleza kibiashara  kwa na kuacha utegemezi kwa kuwa wanao uwezo wa kufanya kazi.

“Fedha zenu zipo   Halmashauri na nimezungumza  katika Baraza la madiwani, ninyi mpewe kipaumbele,nimedhamiria kuwa saidia  nataka niwaambie  ninyi mna weza wala msijisikie wanyonyonge na Serikali ya awamu ya tano ya Rais Dkt John Pombe Magufuli  inawajailisana  na wasaidizi wake hatutawaacha pekeyenu” alisema.

Aidha amewahamasisha  kujiunga katika umoja wao  ili iwe rahisi kusaidiwa wanapo hitaji msaada kutoka kwa wadau mbambali, watakao saidia mfuko wao ili waweze kusaidiana katika matatizo madogo madogo.

“Pia nivema mkawa na umoja wenu ambao mtakuwa mna saidiana mnakuwa na  Accout  Bank , ambayo mtakuwa mnachangiwa fedha zitakazo wasidia  hatammoja wenu akiumwa  mnaweza kusaidia kwa matibabu”alisema
Kumbilamoto pia amechangia fedha walemavu hao kwaajili ya kufungua Account  Bank ya  CRDB, na pesa ya usajili wa umoja wao ili waweze kutambulika na serikali ,na ameahidi  kuhamasisha watu mbali mbali kuwachangia walemavu hao .

“Nitajitahidi kuhamasisha na kuongea na Marafiki zangu walioko ughaibuni ili wanisaidie kuwachangia  msipate shida maana kwa sasa hapa mlipo hata mtu akiumwa homa ya shilingi 5000 mtaanza kuomba omba kwa mjomba shagazi  lakini mkiwa na fedha yenu itawasaidia”alisema 

 Kwaupande wao  baadhi ya walemavu waliopata fursa ya kutoa mawazo yao katika mkutano huo wamemuomba Naibu meya Kumbilamoto kuwatafutia eneo  ambalo watafanya biashara zao  katika masoko.

“Mstahiki Meya tunaomba sana  kiongozi utusaidie sisi walemavu tupatiwe nafasi katika Masoko yanayo jengwa  mfano soko la kisutu na Buguruni hataka kama hatutapata wote hata baadhi yetu na wengine katika masoko menginea  yaliyoko Manispaa ya Ilala”alisema  Sikujua Mbwembwe.

Naye Omary Ramadhani ,aliomba walemavu watengewe eneo maalumu ili wawe wanauza bidhaa zao kwa rejareja na jumla ili waweze kurahisisha  ulipaji wa mikopo.


Katibu wa umoja wa walemavu  kata ya vingunguti John Damasi, akizungumza katika mkutano .




Baadhi ya walemavu waliofika katika mkutano wa Naibu meya wakisikiliza kwa makini maezeo kutoka kwa Naibu Meya  wa Manispaa ya Ilala Omari Kumbilamoto.


Baadhi ya walemavu waliofika katika mkutano wa Naibu meya wakisikiliza kwa makini maezeo kutoka kwa Naibu Meya  wa Manispaa ya Ilala Omari Kumbilamoto.


Baadhi ya walemavu waliofika katika mkutano wa Naibu meya wakisikiliza kwa makini maezeo kutoka kwa Naibu Meya  wa Manispaa ya Ilala Omari Kumbilamoto.












Hivyo makala NAIBU MEYA WA MANISPAA YA ILALA AKUTANA NA WALEMAVU KATA YA VINGUNGUTI,AWAPA MIKAKATI MIZITO.

yaani makala yote NAIBU MEYA WA MANISPAA YA ILALA AKUTANA NA WALEMAVU KATA YA VINGUNGUTI,AWAPA MIKAKATI MIZITO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NAIBU MEYA WA MANISPAA YA ILALA AKUTANA NA WALEMAVU KATA YA VINGUNGUTI,AWAPA MIKAKATI MIZITO. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/naibu-meya-wa-manispaa-ya-ilala-akutana.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NAIBU MEYA WA MANISPAA YA ILALA AKUTANA NA WALEMAVU KATA YA VINGUNGUTI,AWAPA MIKAKATI MIZITO."

Post a Comment

Loading...