Loading...

Polepole akabidhi mipira ya maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo la Tunguu

Loading...
Polepole akabidhi mipira ya maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo la Tunguu - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Polepole akabidhi mipira ya maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo la Tunguu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Polepole akabidhi mipira ya maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo la Tunguu
link : Polepole akabidhi mipira ya maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo la Tunguu

soma pia


Polepole akabidhi mipira ya maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo la Tunguu

  Katibu wa NEC Itikadi na uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Humphrey Polepole akipokea mipira ya maji safi na salama iliyotolewa na Mwakilishi Simai Mohamed Said (kulia) na Mbunge Khalifa Suleiman Salum (kushoto) kwa wananchi wa jimbo la Tunguu Zanzibar jana. Picha na Martin Kabemba.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Humphrey Polepole akipokea zawadi ya kofia kutoka kwa wananchi wa jimbo la Tunguu baada ya kupokea mipira ya maji safi jana.
Picha na Martin Kabemba
Katibu wa NEC Itikadi na uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Humphrey Polepole akihutbia wananchi wa Tunguu kwenye ukumi wa Dunga wilaya ya Kati mkoa wa Kusini unguja baada ya kupokea mipira ya maji yenye thamani ya sh.milioni 5.  Picha na Martin Kabemba.
   Katibu wa NEC Itikadi na uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Humphrey Polepole akishiriki katika kazi ya kuchimba mfereji na uwekaji wa mipia ya maji safi huko Tngu Zanzibar jana.
Picha na Martin Kabemba.


Hivyo makala Polepole akabidhi mipira ya maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo la Tunguu

yaani makala yote Polepole akabidhi mipira ya maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo la Tunguu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Polepole akabidhi mipira ya maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo la Tunguu mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/polepole-akabidhi-mipira-ya-maji-safi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Polepole akabidhi mipira ya maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo la Tunguu"

Post a Comment

Loading...