Loading...

RAIS DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA – KIBAHA

Loading...
RAIS DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA – KIBAHA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA – KIBAHA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA – KIBAHA
link : RAIS DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA – KIBAHA

soma pia


RAIS DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA – KIBAHA



 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata Utepe  na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Vyama vya Kisiasa pamoja na Viongozi wa Dini wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la Msingi la Ujenzi wa Upanuzi wa barabara ya Morogoro Kuanzia Kimara hadi Kibaha yenye Urefu wa Kilometa 19.2 .Hafla iliyofanyika Kimara Jijini Dar es Salaam Desemba 19, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifunua kitambaa na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Vyama vya Kisiasa pamoja na Viongozi wa Dini kuashiria uwekaji rasmi wa jiwe la Msingi la Ujenzi wa Upanuzi wa barabara ya Morogoro Kuanzia Kimara hadi Kibaha yenye Urefu wa Kilometa 19.2 .Hafla iliyofanyika Kimara Jijini Dar es Salaam Desemba 19, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai mara baada ya kufunua kitambaa kuashiria uwekaji rasmi wa jiwe la Msingi la Ujenzi wa Upanuzi wa barabara ya Morogoro Kuanzia Kimara hadi Kibaha yenye Urefu wa Kilometa 19.2 .Hafla iliyofanyika Kimara Jijini Dar es Salaam Desemba 19, 2018.



 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Roberth Mfugale akitoa maelezo ya mradi wakati wa hafla  ya uwekaji jiwe la Msingi la Ujenzi wa Upanuzi wa barabara ya Morogoro Kuanzia Kimara hadi Kibaha yenye Urefu wa Kilometa 19.2 .Hafla iliyofanyika Kimara Jijini Dar es Salaam Desemba 19, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kumpongeza Mbunge wa Kibamba  John Mnyika (CHADEMA) wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la Msingi la Ujenzi wa Upanuzi wa barabara ya Morogoro Kuanzia Kimara hadi Kibaha yenye Urefu wa Kilometa 19.2 .Hafla iliyofanyika Kimara Jijini Dar es Salaam Desemba 19, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kumpongeza Mbunge wa Ubungo Said Kubenea (CHADEMA) wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la Msingi la Ujenzi wa Upanuzi wa barabara ya Morogoro Kuanzia Kimara hadi Kibaha yenye Urefu wa Kilometa 19.2 .Hafla iliyofanyika Kimara Jijini Dar es Salaam Desemba 19, 2018.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>


Hivyo makala RAIS DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA – KIBAHA

yaani makala yote RAIS DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA – KIBAHA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA – KIBAHA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/rais-dktmagufuli-aweka-jiwe-la-msingi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI UPANUZI WA BARABARA YA KIMARA – KIBAHA"

Post a Comment

Loading...