Loading...

SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NCHINI NAMIBIA

Loading...
SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NCHINI NAMIBIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NCHINI NAMIBIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NCHINI NAMIBIA
link : SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NCHINI NAMIBIA

soma pia


SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NCHINI NAMIBIA

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na mgeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.mgeni huyo alieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akipokea zawadi kutoka kwa mgeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.mgeni huyo alieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akionyeshwa mchoro wa Kituo cha Kimataifa kitakachojengwa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika kutoka kwa Ndugu Desmond Amunyela aliyemtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma aliyembatana na Ndugu Iyaloo ya Nangolo wote wakitokea Nchini Namibia.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiwaonyesha Ukumbi wa Bunge la Tanzania waeni wake kutoka Nchini Namibia Ndugu Desmond Amunyela na Ndugu  Iyaloo ya Nangolo  mara baada ya kumtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.wageni hao walieleza kusudio la Namibia la kujenga Kituo cha Kimataifa Wilayani Kongwa  cha Kumbukumbu ya Kupigania uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.


Hivyo makala SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NCHINI NAMIBIA

yaani makala yote SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NCHINI NAMIBIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NCHINI NAMIBIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/spika-wa-bunge-atembelewa-na-wageni.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA NCHINI NAMIBIA"

Post a Comment

Loading...