Loading...

WANAOIHUJUMU ATCL SASA KUFUATILIWA KWA KARIBU.

Loading...
WANAOIHUJUMU ATCL SASA KUFUATILIWA KWA KARIBU. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WANAOIHUJUMU ATCL SASA KUFUATILIWA KWA KARIBU., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WANAOIHUJUMU ATCL SASA KUFUATILIWA KWA KARIBU.
link : WANAOIHUJUMU ATCL SASA KUFUATILIWA KWA KARIBU.

soma pia


WANAOIHUJUMU ATCL SASA KUFUATILIWA KWA KARIBU.

Na John Nditi, Morogoro
NAIBU waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi, Atashasta Nditiye ameiagiza Baraza la Wafanyakazi  la Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) pamoja na   Menejimenti ya  Kampuni  kuimarisha kitengo cha masoko na kufanya ufuatiliaji  kwa watumishi  na mawakala wanaoihujumu Kampuni  hiyo.
Naibu Waziri alisema hayo  katika hotuba yake ya   ufunguzi wa kikao cha tatu cha  baraza la wafanyakazi wa ATCL lililofanyika  mjini Morogoro.
 Alisema , kwa muda mrefu kumekuwa na  manenoo mengi yanayosemwa juu ya kuwepo hujuma dhidi ya  Ndege za ATCL   hasa kwenye  njia  ya Kilimanjaro na Mbeya .Mbali na njia hizo pia huduma hizo zinafanywa kwa maeneo mengine ambapo wateja wanapohitaji huduma za  ATCL huambiwa kuwa ndege zimejaa wakati  jambo hilo si kweli na matokeo yake ndege zinaondoka bila kujaa abiria.
“ Baadhi ya makawala wanaouza tiketi za ATCL wanaonwa na makampuni mengine ya Ndege  ili wajaze kwanza ndege  zao kwa kutoa maelezo kwa wateja wanaohitaji kusafiri na ndege zetu za umma kuwa zimejaa , lakini baadaye zinaondoka bila kujaa abiria” alisema Naibu Waziri Nditiye.
Naibu Waziri huyo alisema “ Huduma za ndege zetu ni nzuri  na nauli yake ni ndogo  na pia ndege zetu zote ni mpya lakini hazijai  tofauti na za makampuni binafsi ambayo bei zake ni za juu na huduma zao hazifanani na za ATCL “ alisema Naibu Waziri Nditiye .
 Naibu waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi, Atashasta Nditiye ( kushoto) akijadiliana jambo na Mkurugenzi mkuu wa ATCL,  Ladislaus Matindi  ( wa pili kushoto ) baada ya Naibu Waziri kufungua   kikao cha tatu cha  baraza la wafanyakazi wa ATCL lililofanyika  mjini Morogoro.
 Naibu waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano , Mhandisi Atashasta Nditiye ( kulia ) akijadiliana jambo  na  Mkurugenzi mkuu wa ATCL,  Ladislaus Matindi  (  kushoto ) kwa ajili ya kufungua  kikao cha tatu cha  baraza la wafanyakazi wa ATCL kilichofanyika  mjini Morogoro.
 Baadhi ya wajumbe wa Baraza la wafanyakazi wa ATCL wakimsilikiza  Naibu waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi, Atashasta Nditiye (  hayupo pichani ) alipofungua  kikao cha tatu cha  baraza  hilo  mjini Morogoro.



Hivyo makala WANAOIHUJUMU ATCL SASA KUFUATILIWA KWA KARIBU.

yaani makala yote WANAOIHUJUMU ATCL SASA KUFUATILIWA KWA KARIBU. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WANAOIHUJUMU ATCL SASA KUFUATILIWA KWA KARIBU. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/wanaoihujumu-atcl-sasa-kufuatiliwa-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WANAOIHUJUMU ATCL SASA KUFUATILIWA KWA KARIBU."

Post a Comment

Loading...