WASHIRIKI MBIO ZA MOROGORO MARATHONI 2018 KUJINYAKULIA MEDALI MBILI MBILI . - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WASHIRIKI MBIO ZA MOROGORO MARATHONI 2018 KUJINYAKULIA MEDALI MBILI MBILI ., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
WASHIRIKI MBIO ZA MOROGORO MARATHONI 2018 KUJINYAKULIA MEDALI MBILI MBILI .link :
WASHIRIKI MBIO ZA MOROGORO MARATHONI 2018 KUJINYAKULIA MEDALI MBILI MBILI .
WASHIRIKI MBIO ZA MOROGORO MARATHONI 2018 KUJINYAKULIA MEDALI MBILI MBILI .
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii .
WAANDAAJI wa Mashindano ya Mbio za Morogoro Marathon 2018 wametangaza kutoa zawadi ya Medali mbili kwa kila mshiriki wa tukio hilo ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa tukio kubwa la kimichezo katika mkoa wa Morogoro.
Waandaaji hao ambao ni taasisi ya Itetet Sports Agency imetangaza zawadi hiyo jana mbele ya waandishi wa habari wakati wa kuzungumzia maandalizi ya Mbio hizo zitakazofanyika kesho alfajiri katika uwanja wa Jamhuri mjini humo
Afisa Mtendaji Mkuu wa Itete Sports Agency ,Antipas Mgungusi alisema mbali na zawadi hizo kwa washiriki pia zipi zawadi kwa washindi wa mbio za Kilometa 21 kwa upande wa wanaume na wanawake ambapo mshindi wa kwanza atapata pesa taslimu kiasi cha sh 400,000 .
“Tuna mbio za Kilometa 21 pamoja na kilometa tano,lakini uwanjani kutakuwa na mbio za kushirikisha watoto kwa maana ya mita 100 na mita 200 ,kwa kilometa 21 mbali na pesa taslimu mshindi pia atapata king’amuzi cha DSTV kutoka kwa wadhamini kampuni ya Multchoice “alisema Mgungusi.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Itete Sports Agency ,Antipas Mgungusi ambao ndio waandaaji wa Mbio za Morogoro Marathon akizungumza na wanahabari kuhusu tukio hilo litakalo fanyika kesho katika uwanja wa Jamhuri ,kushoto kwake ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro Pascal Kihanga,Kaimu Afisa Michezo mkoa wa Morogoro ,Grace Njau na kulia ni Fuhad Hussein ,Meneja wa DSTV mkoa wa Morogoro ambao ndio wadhamini
Medali zilizoandaliwa kwa ajili ya washiriki wa mbio hizo ambazo zitatolewa Mbili kwa kila mshiriki .
Meneja wa DSTV mkoa wa Morogoro ,Fuhad Hussein akizungumza juu ya zawadi za Ving'amuzi zitakazo tolewa kwa washindi wa mbio za Km 21 na Km 5.
Hivyo makala WASHIRIKI MBIO ZA MOROGORO MARATHONI 2018 KUJINYAKULIA MEDALI MBILI MBILI .
yaani makala yote WASHIRIKI MBIO ZA MOROGORO MARATHONI 2018 KUJINYAKULIA MEDALI MBILI MBILI . Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WASHIRIKI MBIO ZA MOROGORO MARATHONI 2018 KUJINYAKULIA MEDALI MBILI MBILI . mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/washiriki-mbio-za-morogoro-marathoni.html
Related Posts :
Matukio ya Picha Kisiwani Pemba Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Hemeid Suleiman Atembelea Soko la Chakechake leo.
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Hemed Suleiman Abdalla, katikati mwenye koti akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Mhe.Rashid Khalid Rash… Read More...
MKUTANO MKUU WA 23 WA BENKI YA CRDB WAFANYIKA LEO JIJINI ARUSHA, WANAHISA WAMUOMBA DKT. KIMEI KUENDELEA KUBAKI
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei akizungumza wakati akitoa taarifa ya Benki kwa Wanahisa wa Benki hiyo, katika Mkutano … Read More...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Azindua Utoaji wa Ruzuku Kwa Skuli za Sekondari Zanzibar.
… Read More...
CRDB BANK WALIVYOSHIRIKI NA KUTOA HUDUMA KWENYE MAONESHO YA WAJASIRIAMALI WA ILALA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
Ofisa Mikopo wa CRDB Bank, Josephat Shimo (kulia), akimpatia maelezo mgeni rasmi katika ufunguzi wa maonesho ya wajasiriamali wa Ilala, Mku… Read More...
China Yaipatia Tanzania Msaada wa Bilioni 146, Kujenga Chuo Kikuu Cha Taifa Cha UsafirishajiNa Bennia Mwaipaja, WFM-Dar es Salaam
Serikali ya Tanzania imetiliana saini na Serikali ya China mkataba wa msaada wa kiasi cha Shilin… Read More...
0 Response to "WASHIRIKI MBIO ZA MOROGORO MARATHONI 2018 KUJINYAKULIA MEDALI MBILI MBILI ."
Post a Comment