Loading...

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaanza maandalizi ya ujenzi wa ofisi Mji wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma.

Loading...
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaanza maandalizi ya ujenzi wa ofisi Mji wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaanza maandalizi ya ujenzi wa ofisi Mji wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaanza maandalizi ya ujenzi wa ofisi Mji wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma.
link : Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaanza maandalizi ya ujenzi wa ofisi Mji wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma.

soma pia


Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaanza maandalizi ya ujenzi wa ofisi Mji wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma.


PIX 1
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bibi Maimuna Tarish ambaye ndio mratibu wa ujenzi wa Mji wa Serikali akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo leo Jijini Dodoma mara baada kukagua eneo la Wizara hiyo ambapo ameridhishwa na hatua iliyofikiwa.Wa kwanza kushoto ni Naibu Katibu Mkuu  wa Wizara hiyo Bw.Nicholaus William.
PIX 2
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw.Nicholaus William (wa kwanza kushoto) akimsikiliza Mhandisi Hagai Mziray kutoka Kampuni ya Mzinga Cooperation ya mkoani Morogoro anayejenga Ofisi za Wizara hiyo wakati alipokagua eneo hilo ambalo limefanyiwa usafi tayari kwa  kuanza ujenzi wa ofisi leo Jijini Dodoma.Weingine ni baadhi ya Viongozi wa Wizara hiyo.
PIX 6
Eneo linapojegwa ofisi za Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo katika mji wa Serikali Jijini Dodoma linavyoonekana baada ya kufanyiwa  usafi.(Picha na Shamimu Nyaki –WHUSM)


Hivyo makala Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaanza maandalizi ya ujenzi wa ofisi Mji wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma.

yaani makala yote Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaanza maandalizi ya ujenzi wa ofisi Mji wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaanza maandalizi ya ujenzi wa ofisi Mji wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/wizara-ya-habari-utamaduni-sanaa-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaanza maandalizi ya ujenzi wa ofisi Mji wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma."

Post a Comment

Loading...