Loading...
title : Balozi Possi awasilisha Hati za Utambulisho Bulgaria
link : Balozi Possi awasilisha Hati za Utambulisho Bulgaria
Balozi Possi awasilisha Hati za Utambulisho Bulgaria
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye anawakilisha pia nchini Bulgaria , Mhe. Dkt. Abdallah Posi akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Bulgaria, Mhe. Rumen Radev. Hafla hiyo ilifanyika Ikulu ya nchi hiyo hivi karibuni.
Mhe. Balozi Dkt. Posi akizungumza na Mhe. Rais Radev mara baada ya kuwasilisha hati za utambulisho
Mhe. Balozi Dkt. Posi akiagana na Mhe. Rais Radev mara baada ya kuwasilisha hati za utambulisho
Mhe. Balozi Dkt. Posi akiwa mbele ya gwaride la heshima alipowasili Ikulu ya Bulgaria kwa ajili ya kuwasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais wa nchi hiyo.
Hivyo makala Balozi Possi awasilisha Hati za Utambulisho Bulgaria
yaani makala yote Balozi Possi awasilisha Hati za Utambulisho Bulgaria Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Balozi Possi awasilisha Hati za Utambulisho Bulgaria mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/01/balozi-possi-awasilisha-hati-za.html
0 Response to "Balozi Possi awasilisha Hati za Utambulisho Bulgaria"
Post a Comment