Loading...

KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA EAC

Loading...
KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA EAC - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA EAC, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA EAC
link : KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA EAC

soma pia


KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA EAC

Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe (aliyekaa mbele), Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye kikao cha maandalizi kabla ya kushiriki kikao cha Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kilichofanyika jijini Arusha tarehe 29 Januari 2019. Pamoja na mambo mengine kikao cha Makatibu Wakuu kilipokea na kujadili taarifa mbalimbali zilizowasilishwa kwao na wajumbe wa ngazi ya Wataalam. Kikao cha Makatibu Wakuu kitafuatiwa na kikao cha Baraza la Mawaziri kitakachofanyika tarehe 30 Januari 2019 kwa ajili ya kuandaa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika tarehe 1 Februari 2019. 
Bw. Stephen Mbundi (katikati), Kiongozi wa kikao cha ngazi ya wataalam ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akitoa taarifa kwa Makatibu Wakuu. Wengine katika picha ni Dkt. Yamungu Kayandabila (kushoto), Naibu Gavana na Bw. Bernard Haule, Kaimu Mkurugenzi, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. 
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Evaristo Longopa (wa pili kulia) akichangia jambo wakati wa kikao cha maandalizi ya ushiriki wa Tanzania kwenye kikao cha Makatibu Wakuu kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Wengine katika picha ni Prof. Sifuni Mchome (wa kwanza kulia), Katibu Mkuu, Wizara ya Katiba na Sheria, Prof. Joseph Buchweshaija, Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara na Prof. Siza Tumbo, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo. 
Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Aziz Mlima (kulia) akifuatilia kikao hicho akiwa pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Amina KH. Shaaban 
Wajumbe ambao ni Wataalam kutoka Wizara, Idara na Taasisi mbalimbali za Serikali wakifuatilia kikao 
Kikao kikiendelea 
Wajumbe wengine wakiwa kwenye kikao 
Wajumbe wa kikao wakifuatilia kikao 
Wajumbe kutoak Wizara, Idara na Taasisi za Serikali walioshiriki kikao 
Wajumbe wengine nao wakifuatilia kikao 
Wataalam wa masuala mbalimbali kutoka Wizara, Idara na Taasisi za Serikali wakiwa kwenye kikao 
Wataalam wakinukuu masuala mbalimbali yaliyokuwa yanajadiliwa kwenye kikao hicho 
Kikao kikiendelea 
Kikao kikiendelea 


Hivyo makala KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA EAC

yaani makala yote KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA EAC Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA EAC mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/01/katibu-mkuu-wa-mambo-ya-nje-aongoza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA EAC"

Post a Comment

Loading...