Loading...
title : KIKAO CHA MAWAZIRI WA TANZANIA NA UGANDA WANAOHUSIKA NA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI CHAFANYIKA KAMPALA
link : KIKAO CHA MAWAZIRI WA TANZANIA NA UGANDA WANAOHUSIKA NA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI CHAFANYIKA KAMPALA
KIKAO CHA MAWAZIRI WA TANZANIA NA UGANDA WANAOHUSIKA NA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI CHAFANYIKA KAMPALA
Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Paramagamba Kabudi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba wamefanya kikao kati yao na wataalam kutoka Taasisi mbalimbali nchini Tanzania walio katika Timu ya Kitaifa ya Majadiliano ya Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanzania.
Kikao hicho kinachofanyika Kampala – Uganda ni cha maandalizi kabla ya kufanyika kikao na Mawaziri wa Uganda wanaohusika na mradi huo baadaye leo.
Kikao cha Mawaziri wa Tanzania na Uganda wanaohusika na mradi huo kinafanyika kufuatia majadiliano ya wataalam wa nchi hizi mbili yaliyoanza tarehe 21/1/2019 na kufuatiwa na Kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali zinazosimamia mradi kutoka Tanzania na Uganda kilichofanyika tarehe 24/1/2019
Kutoka kushoto ni Januari Makamba Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, William Lukuvi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk.Merdad Kalemani Waziri wa Nishati, Profesa Paramagamba Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba Mawaziri kutoka Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wanaohudhuria kikao kuhusu maandalizi ya ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda mpaka Tanga nchini Tanzania kinaofanyika leo nchini Uganda.

Mawaziri kutoka Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Jahuri ya Uganda wakiwa katika mkutano kuhusu maandalizi ya ujenzi wa mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda mpaka Tanga nchini Tanzania unaofanyika leo nchini Uganda.
Baadhi ya wataalam wakiwa katika mkutano huo.
Makatibu wakuu wa wizara mbalimbali kutoka nchini Tanzania wakihudhuria mkutano huo.
Baadhi ya maofisa kutoka Tanzania wakihudhuria mkutano huo.
Kikao hicho kinachofanyika Kampala – Uganda ni cha maandalizi kabla ya kufanyika kikao na Mawaziri wa Uganda wanaohusika na mradi huo baadaye leo.
Kikao cha Mawaziri wa Tanzania na Uganda wanaohusika na mradi huo kinafanyika kufuatia majadiliano ya wataalam wa nchi hizi mbili yaliyoanza tarehe 21/1/2019 na kufuatiwa na Kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali zinazosimamia mradi kutoka Tanzania na Uganda kilichofanyika tarehe 24/1/2019

Mawaziri kutoka Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Jahuri ya Uganda wakiwa katika mkutano kuhusu maandalizi ya ujenzi wa mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda mpaka Tanga nchini Tanzania unaofanyika leo nchini Uganda.
Baadhi ya wataalam wakiwa katika mkutano huo.
Makatibu wakuu wa wizara mbalimbali kutoka nchini Tanzania wakihudhuria mkutano huo.
Baadhi ya maofisa kutoka Tanzania wakihudhuria mkutano huo.
Hivyo makala KIKAO CHA MAWAZIRI WA TANZANIA NA UGANDA WANAOHUSIKA NA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI CHAFANYIKA KAMPALA
yaani makala yote KIKAO CHA MAWAZIRI WA TANZANIA NA UGANDA WANAOHUSIKA NA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI CHAFANYIKA KAMPALA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala KIKAO CHA MAWAZIRI WA TANZANIA NA UGANDA WANAOHUSIKA NA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI CHAFANYIKA KAMPALA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/01/kikao-cha-mawaziri-wa-tanzania-na.html
0 Response to "KIKAO CHA MAWAZIRI WA TANZANIA NA UGANDA WANAOHUSIKA NA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI CHAFANYIKA KAMPALA"
Post a Comment