Loading...

MKURUGENZI IDARA YA URATIBU MAAFA OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA MJI MPYA WA SERIKALI, IHUMWA, DODOMA

Loading...
MKURUGENZI IDARA YA URATIBU MAAFA OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA MJI MPYA WA SERIKALI, IHUMWA, DODOMA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKURUGENZI IDARA YA URATIBU MAAFA OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA MJI MPYA WA SERIKALI, IHUMWA, DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKURUGENZI IDARA YA URATIBU MAAFA OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA MJI MPYA WA SERIKALI, IHUMWA, DODOMA
link : MKURUGENZI IDARA YA URATIBU MAAFA OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA MJI MPYA WA SERIKALI, IHUMWA, DODOMA

soma pia


MKURUGENZI IDARA YA URATIBU MAAFA OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA MJI MPYA WA SERIKALI, IHUMWA, DODOMA

 Mkurugenzi Mkuu  wa Mzinga Holdings Company, Meja Jenerali, Seif Makona ambaye ndiyo Mkandarasi anayejenga Jengo la Ofisi ya Waziri Mkuu katika Mji mpya wa serikali akiteta na Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali Jimmy Matamwe, wakati Mkurugenzi Matamwe alipotembelea eneo la ujenzi wa ofisi hiyo, leo tarehe 17 Januari, 2019.
 Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali, Jimmy Matamwe akiangalia shughuli za ujenzi wa  Jengo la Ofisi ya Waziri Mkuu katika Mji mpya wa serikali, Ihumwa, Dodoma, leo tarehe 17 Januari, 2019.
Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali, Jimmy Matamwe akiongea na moja ya mafundi kutoka Mzinga Holdings ompany wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa  Jengo la Ofisi ya Waziri Mkuu katika Mji mpya wa serikali, Ihumwa, Dodoma, leo tarehe 17 Januari, 2019.
 Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali, Jimmy Matamwe akiongea na Mratibu Ujenzi Jengo la Ofisi ya Waziri Mkuu kutoka Mzinga Holdings Company wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa Ofisi hiyo,  katika Mji mpya wa serikali, Ihumwa, Dodoma, leo tarehe 17 Januari, 2019.


Hivyo makala MKURUGENZI IDARA YA URATIBU MAAFA OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA MJI MPYA WA SERIKALI, IHUMWA, DODOMA

yaani makala yote MKURUGENZI IDARA YA URATIBU MAAFA OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA MJI MPYA WA SERIKALI, IHUMWA, DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKURUGENZI IDARA YA URATIBU MAAFA OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA MJI MPYA WA SERIKALI, IHUMWA, DODOMA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/01/mkurugenzi-idara-ya-uratibu-maafa-ofisi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKURUGENZI IDARA YA URATIBU MAAFA OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA MJI MPYA WA SERIKALI, IHUMWA, DODOMA"

Post a Comment

Loading...