Loading...

KUMBILAMOTO AKUTANA NA WAJANE NA WALEMAVU ZAIDI YA 200 NA KUGAWA MIKATE

Loading...
KUMBILAMOTO AKUTANA NA WAJANE NA WALEMAVU ZAIDI YA 200 NA KUGAWA MIKATE - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KUMBILAMOTO AKUTANA NA WAJANE NA WALEMAVU ZAIDI YA 200 NA KUGAWA MIKATE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KUMBILAMOTO AKUTANA NA WAJANE NA WALEMAVU ZAIDI YA 200 NA KUGAWA MIKATE
link : KUMBILAMOTO AKUTANA NA WAJANE NA WALEMAVU ZAIDI YA 200 NA KUGAWA MIKATE

soma pia


KUMBILAMOTO AKUTANA NA WAJANE NA WALEMAVU ZAIDI YA 200 NA KUGAWA MIKATE

Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii

Wajane zaidi ya  200 na Makundi ya watu wenye ulemavu kutoka kata ya Vingunguti wamekutana katika ukumbi wa Mashujaa Vingunguti jijini Dar es Salaam Kujadili Changamoto zao zinazo wakabili na kuanzisha vikundi vya ujasiliamali.

Omary Kumbilamoto ambaye ni Diwani wa kata ya Vingunguti na Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala,ambae ndio chachu ya mkutano huo na mwanzilishi wa makundi hayo amewataka wakazi hao ambao wako katika kundi maalum kudumisha upendo na mshikamano katika Vikundi walivyoanzisha ili waweze kukopesheka.

Kumbilamoto amesema kumekuwa na ufinyu wa taarifa za fursa za watu wenye makundi maaalum kutokana na wao kujitenga na jamii inayowazunguka na kujiona wanyonge ,hivyo kupitia vikundi hivyo walivyounda wataweza kukaa pamoja na kupokea taarifa mbalimbali na fursa zinazopatikana kutoka katika taasisi za ndani na nje ya nchi.

"Iwe rahisi mtu kukufata nyumbani kwako kwa kuwa wewe mjane akakupa mkopo au fursa iliyopo mahali, lakini kupitia vikundi hivi mtaweza kukopesheka na Halmashauri yenu pamoja na mabenki kwa Halmashauri imetenga fungu maalum kwa ajili ya Vijana Walemavu na Wanawake ambalo mkopo wake auna riba hivyo ni vymea mkachangamkia fursa hii kwa kusajili vikundi vyenu na kukopa mapesa ya Rais Magufuli"alisema Kumbilamoto.

Aidha katika kusanyiko hilo kumbilamoto aliweza kugawa mikate miwili miwili kwa kila mjane na mlemavu waliofika katika mkutano huo kama kifungua kinywa kwa siku ya kesho.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto akizungumza na kundi la Wajane na Walemavu wa kata ya Vingunguti
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM),Omary Kumbilamoto akigawa Mikate kwa Wanawake wajane na watu wenye ulemavu.
Sehemu ya Wanawake Wajane na Watu Wenye ulemavu waishio Vingunguti wakisubiri neno kutoka kwa Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto.


Hivyo makala KUMBILAMOTO AKUTANA NA WAJANE NA WALEMAVU ZAIDI YA 200 NA KUGAWA MIKATE

yaani makala yote KUMBILAMOTO AKUTANA NA WAJANE NA WALEMAVU ZAIDI YA 200 NA KUGAWA MIKATE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KUMBILAMOTO AKUTANA NA WAJANE NA WALEMAVU ZAIDI YA 200 NA KUGAWA MIKATE mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/02/kumbilamoto-akutana-na-wajane-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KUMBILAMOTO AKUTANA NA WAJANE NA WALEMAVU ZAIDI YA 200 NA KUGAWA MIKATE"

Post a Comment

Loading...