Loading...

RAIS DKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA

Loading...
RAIS DKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS DKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS DKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA
link : RAIS DKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA

soma pia


RAIS DKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akiwa na mke wake mama Mwanamwema Shein (wamwanzo)na Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Amali Riziki Pembe Juma wakikunjuwa Pazia kuashiria Uwekaji wa Jiwe la Msingi Skuli ya Msingi Kwarara ikiwa ni miongoni mwa Ziara yake ya kuangalia miradi mbalimbali ya Serikali katika Wilaya ya Magharibi B unguja..
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akitoa hotuba  katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Skuli ya Msingi Kwarara Ikiwa ni miongoni mwa  ziara yake  kuangalia miradi mbalimbali ya Serikali katika Wilaya ya Magharibi B unguja.
 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma akitoa hotuba ya Makaribisho kwa Mgeni Rasmi  Rais wa Zanzibar katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Skuli ya Msingi Kwarara Ikiwa ni miongoni mwa  ziara yake  kuangalia miradi mbalimbali ya Serikali katika Wilaya ya Magharibi B unguja.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Kampuni ya (SRAT CONSULT )ya Mwanza Tanzania Salim Rajab Twaakyondo kuhusiana na ujenzi wa Skuli ya Msingi Kwarara ikiwa ni miongoni mwa Ziara yake ya kuangalia miradi mbalimbali ya Serikali katika Wilaya ya Magharibi B unguja.
 Baadhi ya Wanafunzi wa Skuli ya Msingi na Sekondari  Kwarara wakiwa katika sehemu ya Jengo la Skuli ya Msingi ambalo Limewekewa Jiwe la Msingi na Rais wa Zanizbar Dk Ali Mohamed Shein ikiwa ni miongoni mwa Ziara yake ya kuangalia miradi mbalimbali ya Serikali katika Wilaya ya Magharibi B unguja..
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.



Hivyo makala RAIS DKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA

yaani makala yote RAIS DKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS DKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/02/rais-dkt-shein-aendelea-na-ziara-yake_14.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS DKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA"

Post a Comment

Loading...