Loading...
title : AZANIA BENKI YAONGEZA MATAWI MARA BAADA YA KUUNGANA NA BENKI M
link : AZANIA BENKI YAONGEZA MATAWI MARA BAADA YA KUUNGANA NA BENKI M
AZANIA BENKI YAONGEZA MATAWI MARA BAADA YA KUUNGANA NA BENKI M
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Azania ,Charles Itembe akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kukamilika Kusaini Mkataba wa kukubali kuchukua mali zilizokuwa zinamilikiwa na Banki, Mara baada ya kupatiwa majukumu hayo na Benki Kuu ya Tanzania kufuatia Benki M kuishiwa Ukwasi na kushindwa kujiendesha kwa ufanisi na taratibu za kibenki zinavyotaka.
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Azania ,Charles Itembe akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kukamilika Kusaini Mkataba wa kukubali kuchukua mali zilizokuwa zinamilikiwa na Banki Mara baada ya kupatiwa amajukumu hayo na Benki Kuu ya Tanzania kufuatia Benki M kuishiwa Ukwasi na kushindwa kujiendesha kwa ufanisi na taratibu za kibenki zinavyotaka.
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Azania ,Charles Itembe akiwa katika picha na Watendaji Wakuu wa Idara kutoka Benki ya Azania.
Sehemu ya Waandishi wa Habari walioshiriki katika Mkutano huo uliofanyika Makao Makuu ya Benki hiyo Jijini Dar es Salaam
Hivyo makala AZANIA BENKI YAONGEZA MATAWI MARA BAADA YA KUUNGANA NA BENKI M
yaani makala yote AZANIA BENKI YAONGEZA MATAWI MARA BAADA YA KUUNGANA NA BENKI M Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala AZANIA BENKI YAONGEZA MATAWI MARA BAADA YA KUUNGANA NA BENKI M mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/03/azania-benki-yaongeza-matawi-mara-baada.html
0 Response to "AZANIA BENKI YAONGEZA MATAWI MARA BAADA YA KUUNGANA NA BENKI M"
Post a Comment