GAVANA SHILATU ASHIRIKI UJENZI ZAHANATI ‘NI ULE ALIOAGIZA UENDELEZWE’ - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa GAVANA SHILATU ASHIRIKI UJENZI ZAHANATI ‘NI ULE ALIOAGIZA UENDELEZWE’, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
GAVANA SHILATU ASHIRIKI UJENZI ZAHANATI ‘NI ULE ALIOAGIZA UENDELEZWE’link :
GAVANA SHILATU ASHIRIKI UJENZI ZAHANATI ‘NI ULE ALIOAGIZA UENDELEZWE’
GAVANA SHILATU ASHIRIKI UJENZI ZAHANATI ‘NI ULE ALIOAGIZA UENDELEZWE’
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Gavana Emmanuel Shilatu ameshiriki ujenzi wa Zahanati ya Ngongo iliyopo Kijiji Cha Ngongo kilichopo kata ya Michenjele.
Gavana Shilatu alienda kufuatilia utekelezaji wa maagizo yake ya ujenzi wa mradi huo wa Zahanati alioagiza ndani ya siku mbili uanze kutokana na kutelekezwa tangu Mwaka jana.
Gavana Shilatu alifurahishwa kukuta nyasi zimefyekwa na Mafundi wapo kazini Kama alivyoagiza na kuwasisitiza watangulize mbele uzalendo kwa kuhakikisha mradi unajengwa kwa kuzingatia ubora na viwango vinavyolingana na thamani ya pesa.
Katika ushiriki wa ujenzi huo Gavana Shilatu aliambatana na Serikali ya Kijiji pamoja na kamati ya ujenzi.
Hivyo makala GAVANA SHILATU ASHIRIKI UJENZI ZAHANATI ‘NI ULE ALIOAGIZA UENDELEZWE’
yaani makala yote GAVANA SHILATU ASHIRIKI UJENZI ZAHANATI ‘NI ULE ALIOAGIZA UENDELEZWE’ Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala GAVANA SHILATU ASHIRIKI UJENZI ZAHANATI ‘NI ULE ALIOAGIZA UENDELEZWE’ mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/03/gavana-shilatu-ashiriki-ujenzi-zahanati.html
Related Posts :
BALOZI WA KUWAIT AKABIDHI VIFAA TIBA KWA HOSPITALI KIGAMBONI
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa, leo tarehe 10/6/2018 amepokea ugeni wa Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Al Naje… Read More...
GOR MAHIA ATWAA KOMBE LA SPORTPESA SUPERCUP, KUKIPIGA NA EVERTON GODSON PARK
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Klabu ya Soka ya Gor Mahia ya nchini Kenya imeendeleza ubabe wake kwa kunyakua kombe la Sportpesa… Read More...
JULIO ASEMA, UWEZO WA ALI KIBA SIO WA NCHI HII.
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Kocha Jamhuri Kihwelo 'Julio' amesema kuwa uwezo wa kimpira wa msanii Ali Saleh Kiba ni wa kucheza soka … Read More...
WAZIRI WA KILIMO AAGIZA KURUDIWA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA USHIRIKA KILA MAHALI PENYE DOSARI WILAYANI IKUNGINa Mathias Canal-WK, Singida
Waziri wa kilimo Mhe. Dkt Charles Tizeba amemuagiza Afisa ushirika wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Ndg Guri… Read More...
DK. MNDOLWA AUNGURUMA JIJINI MWANZA, LEO
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk. Edmund Mndolwa akizungumza na viongozi wa CCM na wa Jumuiya hiyo mkoani Mwanza, katika mkutano… Read More...
0 Response to "GAVANA SHILATU ASHIRIKI UJENZI ZAHANATI ‘NI ULE ALIOAGIZA UENDELEZWE’"
Post a Comment