BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIAlink :
BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha jumla ya Shilingi bilioni 55,175,163,302 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na miradi ya maendeleo kwa Wizara ya Katiba na Taasisi zake.
Kati ya fedha hizo Shilingi Bilioni 47,283,566,000 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na mishahara na shilingi Bilioni 7,891,598,000 ni kwa ajili ya matumizi ya maendeleo.
Fedha zilizopitishwa ni kwa ajii ya Ofisi za Wizara ya Katiba na Sheria, Tume ya Utumishi wa Mahakama,Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora na Tume ya Kurekebisha Sheria.
Wizara pia iliomba Bunge liidhinishe shilingi Bilioni 126,162,464,756 kwa ajili ya Mfuko wa Mahakama . Kati ya Fedha hizo shilingi Bilioni 104,004,564,000 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shilingi Bilioni 22,157,900,576 ni kwa ajili ya matumizi ya maendeleo.
Hivyo makala BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
yaani makala yote BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/04/bunge-lapitisha-bajeti-ya-wizara-ya.html
Related Posts :
WAZIRI UMMY AUAGIZA UONGOZI WA HOSPITALI YA ST FRANCIS KUSHUSHA BEI ZA MATIBABU MARA MOJA
Na WAMJW – IFAKARA
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu ameuagiza uongozi wa Hospitali ya Dini ya … Read More...
WANAWAKE WENYE UALBINO WADAIWA KUONGOZA KUFARIKI KWA KANSA DAR
Na Leandra Gabriel, blogu ya jamii
Elimu kuhusiana na namna ya kujikinga na kansa kwa wenye ulemavu wa ngozi imetakiwa kufika katika maene… Read More...
BENKI YA STANBIC YATOA ZAWADI NA UJUMBE WA SHUKRANI KWA WATEJA
Ruth Bura mteja wa Benki ya Stanbic akifungua chupa ya ‘champagne’ na wafanyakazi wa benki hiyo, Edward Nyerere (kushoto), Jacquiline Micha… Read More...
WANACHUO WA KIU KUENDELEA NA MASOMO OKTOBA 29 MWAKA HUUNa Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa Tanzania Kampala(KIU) umewataka wazazi kuondokana na wasiwasi kwani ch… Read More...
WAZIRI UMMY AUAGIZA UONGOZI WA HOSPITALI YA ST FRANCIS KUSHUSHA BEI ZA MATIBABU MARA MOJA
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akisisitiza jambo mbele ya viongozi wa Mkoa wa Morogoro walio… Read More...
0 Response to "BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA"
Post a Comment