Loading...

MKUU WA MKOA WA MTWARA AWATOA WANANCHI KUFUATIA KIMBUKA KENNETH

Loading...
MKUU WA MKOA WA MTWARA AWATOA WANANCHI KUFUATIA KIMBUKA KENNETH - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUU WA MKOA WA MTWARA AWATOA WANANCHI KUFUATIA KIMBUKA KENNETH, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKUU WA MKOA WA MTWARA AWATOA WANANCHI KUFUATIA KIMBUKA KENNETH
link : MKUU WA MKOA WA MTWARA AWATOA WANANCHI KUFUATIA KIMBUKA KENNETH

soma pia


MKUU WA MKOA WA MTWARA AWATOA WANANCHI KUFUATIA KIMBUKA KENNETH

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa akizungumza pamoja na kuwatoa hofu wakazi wa mkoa huo na watanzania kwa ujumla juu ya hali ya uwepo wa kimbunga Kenneth kinachoelezwa kutokea katika baadhi ya maeneo ya mkoa huo, wakati alipotembelea kwenye eneo la uwanja wa ndege wa mkoa huo na kuwatoa hofu juu ya taarifa zinazoenea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa hali siyo shwari, RC Byakanwa amesema hali ni shwari hadi hivi sasa siyo kama taarifa hizo zinavyoenezwa.(PICHA NA FATNA MWINYIMKUU).
Wakazi mkoani Mtwara leo wakiyakimbia makazi yao na kukimbila shule ya msingi Tandika mkoani hapa eneo ambalo serikali ya mkoa wa mtwara imetangaza kuwa yatakuwa salama kwao hata kama kimbunga keneth kitatokea kwani madhara hayatakuwa makubwa kwao.


Hivyo makala MKUU WA MKOA WA MTWARA AWATOA WANANCHI KUFUATIA KIMBUKA KENNETH

yaani makala yote MKUU WA MKOA WA MTWARA AWATOA WANANCHI KUFUATIA KIMBUKA KENNETH Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKUU WA MKOA WA MTWARA AWATOA WANANCHI KUFUATIA KIMBUKA KENNETH mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/04/mkuu-wa-mkoa-wa-mtwara-awatoa-wananchi.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "MKUU WA MKOA WA MTWARA AWATOA WANANCHI KUFUATIA KIMBUKA KENNETH"

Post a Comment

Loading...