Loading...
title : Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu
link : Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu
Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Dkt. Asha Rose Migiro leo aliandaa hafla fupi katika makazi ya Balozi kumpongeza kijana mtanzania Alphonse Simbu Kwa kushika nafasi ya tano katika mbio za "London Marathon" zilizofanyika tarehe 23 Aprili 2017 jijijini London.
Katika salamu zake, Balozi Migiro alimpongeza Bw. Simbu kwa heshima aliyoipa Tanzania jijini London na Duniani kupitia mbio za London. alimsihi atumie matokeo hayo kama hamasa ya kufanya bidii zaidi kwa ajili ya mashindano ya mbio ndefu anayotarajiwa kushiriki baadae mwakani.
Simbu alimshukuru Balozi Migiro Kwa ushirikiano mkubwa wa kibalozi alioupata akiwa jijini London.Alimkabidhi Balozi Fulana ya kumbukumbu ya ushiriki wake kwenye mbio hizo.
Pichani Balozi Asha Rose Migiro akipokea Fulana hiyo.
Hivyo makala Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu
yaani makala yote Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/balozi-asha-rose-migiro-ampongeza.html
0 Response to "Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu"
Post a Comment