Loading...

SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU KWA WAAJIRI KUZUIA UHAMISHO WA WANANDOA

Loading...
SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU KWA WAAJIRI KUZUIA UHAMISHO WA WANANDOA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU KWA WAAJIRI KUZUIA UHAMISHO WA WANANDOA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU KWA WAAJIRI KUZUIA UHAMISHO WA WANANDOA
link : SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU KWA WAAJIRI KUZUIA UHAMISHO WA WANANDOA

soma pia


SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU KWA WAAJIRI KUZUIA UHAMISHO WA WANANDOA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene, akijibu hoja za wabunge, hasa la uhamisho wa watumishi wakiwemo wanandoa wanaotenganishwa kutokana na majukumu ya ajira, alikemea tabia ya maofisa watumishi kuzuia uhamisho wa watumishi wenye ndoa kuhama kutoka kituo kimoja cha kazi kwenda kituo kingine kwa lengo la kuwafuata wenzao.

Alisema kuwazuia ni kuwanyima haki ya msingi, na kuwaagiza wabunge katika maeneo yao wasaidia kusimamia haki za watumishi. Lazima sheria za utumishi zizingatiwe, walimu hawa au watumishi wanayo haki ya kutoka sehemu moja kwenda nyingine, lakini pia kuishi na wenza wao, lakini utadhani mtumishi anapoomba ni kama anasaidiwa, hapana ni haki yake ya msingi, waheshimiwa tusimamie haki za watumishi,” alisema Simbachawene



Hivyo makala SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU KWA WAAJIRI KUZUIA UHAMISHO WA WANANDOA

yaani makala yote SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU KWA WAAJIRI KUZUIA UHAMISHO WA WANANDOA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU KWA WAAJIRI KUZUIA UHAMISHO WA WANANDOA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/simbachawene-apiga-marufuku-kwa-waajiri.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU KWA WAAJIRI KUZUIA UHAMISHO WA WANANDOA"

Post a Comment

Loading...