Loading...

Wananchi Gongolamboto walilia daraja

Loading...
Wananchi Gongolamboto walilia daraja - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wananchi Gongolamboto walilia daraja, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wananchi Gongolamboto walilia daraja
link : Wananchi Gongolamboto walilia daraja

soma pia


Wananchi Gongolamboto walilia daraja


Dotto Mwaibale

MANISPAA ya Ilala imeombwa kufanya jitihada za makusudi kunusuru daraja linalounganisha Gongolamboto na Machinjio ya Pugu kwani liko hatarini kusombwa na maji.

Mwito huo ulitolewa Dar es Salaam jana na wakazi wa Pugu Machinjioni wakisema hatua za haraka zisipochukuliwa mawasiliano ya wananchi wa Gongolamboto yatakatika na kuwa adha kwao.

"Tunaomba Manispaa ilifanyie ukarabati daraja hili ambalo kwa sehemu kubwa kingo zake zimesombwa na maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha," alisema Omari Mshamu mkazi wa eneo hilo.

Mkazi mwingine Marietha Stanslaus alisema iwapo daraja hilo litasombwa na maji watakaopata shida zaidi ni wanafunzi watakaolazimika kutumia njia ndefu kufika shuleni kwa kuwa wengi wao wanasoma shule za Gongolamboto.

Jithada za kumpata Diwani wa eneo hilo kuzungumzia suala hilo zilishindikana baada ya simu yake kutopatikana.


Hivyo makala Wananchi Gongolamboto walilia daraja

yaani makala yote Wananchi Gongolamboto walilia daraja Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wananchi Gongolamboto walilia daraja mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/wananchi-gongolamboto-walilia-daraja.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Wananchi Gongolamboto walilia daraja"

Post a Comment

Loading...