Loading...

BULEMBO AENDELEA NA ZIARA YAKE MERERANI LEO

Loading...
BULEMBO AENDELEA NA ZIARA YAKE MERERANI LEO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BULEMBO AENDELEA NA ZIARA YAKE MERERANI LEO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BULEMBO AENDELEA NA ZIARA YAKE MERERANI LEO
link : BULEMBO AENDELEA NA ZIARA YAKE MERERANI LEO

soma pia


BULEMBO AENDELEA NA ZIARA YAKE MERERANI LEO

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Abdallah Bulembo akipewa na Wazee, heshima ya Kiongozi Mkuu wa Kabila la Wamasai la Ulaigwanani, alipowasili ukumbini kuzungumza na Watendaji na viongozi na wanachama wa CCM wakiwemo mabalozi, katika mji mdogo wa Mererani mkoani Manyara, leo, May 27, 2017. (Picha na Bashir Nkoromo).
  Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi, Abdallah Bulembo akizungumza ukumbini na Watendaji wa serikali, viongozi na wanachama wa CCM wakiwemo wajumbe wa nyumba kumi, katika mji mdogo wa Mererani mkoani Manyara, leo May 27, 2017.
 Viongozi na wanachama wa CCM wakiwemo wajumbe wa nyumba kumi wakishangilia wakati Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa CCM, Abdallah Bulembo alipozunumza nao ukumbini katika mji mdogo wa Mererarini mkoani


Hivyo makala BULEMBO AENDELEA NA ZIARA YAKE MERERANI LEO

yaani makala yote BULEMBO AENDELEA NA ZIARA YAKE MERERANI LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BULEMBO AENDELEA NA ZIARA YAKE MERERANI LEO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/bulembo-aendelea-na-ziara-yake-mererani.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BULEMBO AENDELEA NA ZIARA YAKE MERERANI LEO"

Post a Comment

Loading...