Loading...
title : BW. RAYMOND MUSHUMBUSI NA BI. SUSAN BARNABAS WAFUNGA NDOA KANISA LA MTAKATIFU PETRO OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM
link : BW. RAYMOND MUSHUMBUSI NA BI. SUSAN BARNABAS WAFUNGA NDOA KANISA LA MTAKATIFU PETRO OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM
BW. RAYMOND MUSHUMBUSI NA BI. SUSAN BARNABAS WAFUNGA NDOA KANISA LA MTAKATIFU PETRO OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM
MwambawahabariMfanyakazi wa Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Raymond Mushumbusi akiwa pamoja na Mkewe
Bi.Susan Barnabas jana wakati walipofunga ndoa takatifu na kuwa mwili mmoja
kwenye kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam
wakisindikizwa na wasimamizi wao Benedict Mwakasindile na Bi. Leticia
Mwakaila , Ndoa hiyo ilifungwa na Padri Padri Haule wa Kanisa hilo Timu
nzima ya Fullshangwe inawatakiwa maisha marefu na yenye furaha katika ndoa
yenu huku mkijaaliwa kuiongeza dunia.
Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Raymond Mushumbusi akiwa pamoja na Mkewe
Bi.Susan Barnabas jana wakati walipofunga ndoa takatifu na kuwa mwili mmoja
kwenye kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam
wakisindikizwa na wasimamizi wao Benedict Mwakasindile na Bi. Leticia
Mwakaila , Ndoa hiyo ilifungwa na Padri Padri Haule wa Kanisa hilo Timu
nzima ya Fullshangwe inawatakiwa maisha marefu na yenye furaha katika ndoa
yenu huku mkijaaliwa kuiongeza dunia.
Bibi harusi Susan Barnabas na
msimamizi wake Leticia Mwakaila wakiwa kwenye gari kabla ya kuingia
kanisani tayari kwa tukio la kufungwa kwa ndoa hiyo jana.
msimamizi wake Leticia Mwakaila wakiwa kwenye gari kabla ya kuingia
kanisani tayari kwa tukio la kufungwa kwa ndoa hiyo jana.
Mfanyakazi wa Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Raymond Mushumbusi akimvisha pete Mkewe
Susan Barnabas wakati walipofunga ndo katika kanisa la Mtakatifu Petro
Oysterbay jana jijini Dar es salaa.
Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Raymond Mushumbusi akimvisha pete Mkewe
Susan Barnabas wakati walipofunga ndo katika kanisa la Mtakatifu Petro
Oysterbay jana jijini Dar es salaa.
Mfanyakazi wa Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Raymond Mushumbusi akiwa pamoja na Mkewe
Susan Barnabas wakishiriki sala wakati wa ibada ya kufungwa kwa ndoa yao
jana.
Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Raymond Mushumbusi akiwa pamoja na Mkewe
Susan Barnabas wakishiriki sala wakati wa ibada ya kufungwa kwa ndoa yao
jana.
Padri Haule wa kanisa la Mtakatifu
Petro akiziombe pete za maharusi huku maharusi hao wakiwa
wamezishikilia.
Petro akiziombe pete za maharusi huku maharusi hao wakiwa
wamezishikilia.
Bibi Harusi Susan Barnabas akipozi
kwa picha kwenye gari.
kwa picha kwenye gari.
ibi Harusi Susan Barnabas akimvisha
pete mumewe Bw. Raymond Mushumbusi wakati walipofunga ndo kwenye kanisa la
Mtakatifu Petro Osterbay jijini Dar es salaa huku Padri Haule akishuhudia
tukio hilo kulia ni Bw. Benedict Mwakasindile msimamizi wa maharusi
hao.
pete mumewe Bw. Raymond Mushumbusi wakati walipofunga ndo kwenye kanisa la
Mtakatifu Petro Osterbay jijini Dar es salaa huku Padri Haule akishuhudia
tukio hilo kulia ni Bw. Benedict Mwakasindile msimamizi wa maharusi
hao.
Maharusi wakisaini vyeti vya ndao
mara baada ya kufungwa kwa ndoa hiyo.
mara baada ya kufungwa kwa ndoa hiyo.
Hivyo makala BW. RAYMOND MUSHUMBUSI NA BI. SUSAN BARNABAS WAFUNGA NDOA KANISA LA MTAKATIFU PETRO OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM
yaani makala yote BW. RAYMOND MUSHUMBUSI NA BI. SUSAN BARNABAS WAFUNGA NDOA KANISA LA MTAKATIFU PETRO OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BW. RAYMOND MUSHUMBUSI NA BI. SUSAN BARNABAS WAFUNGA NDOA KANISA LA MTAKATIFU PETRO OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/bw-raymond-mushumbusi-na-bi-susan.html
0 Response to "BW. RAYMOND MUSHUMBUSI NA BI. SUSAN BARNABAS WAFUNGA NDOA KANISA LA MTAKATIFU PETRO OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM"
Post a Comment