Loading...

Kesi ya Scorpion yaahirishwa tena

Loading...
Kesi ya Scorpion yaahirishwa tena - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Kesi ya Scorpion yaahirishwa tena, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Kesi ya Scorpion yaahirishwa tena
link : Kesi ya Scorpion yaahirishwa tena

soma pia


Kesi ya Scorpion yaahirishwa tena


Jemah Makamba

KESI inayomkabili Salum Njwete ‘Scorpion’, ya kuiba, kujeruhi na  kumtoboa macho Saidi Mrisho, imehairishwa tena  na Mahakama ya Wilaya ya Ilala kutokana na Wakili wa mlalamikaji kukosekana mahakamani.

Mashitaka hayo yaliahirishwa kwa maombi ya Mwendesha Mashitaka wa Serikali, Nassoro Katuga na Hakimu Flora Haule huku Wakili akidai  kuwa upande wa Jamhuri imeandaa shahidi mmoja wa tisa.

"Shauri lilikuja kusikilizwa upande wa Jamhuri tulijiandaa na shahidi mmoja, lakini tunaomba tarehe nyingine kutokana na Wakili wa mshitakiwa kutokuwapo mahakamani," aliomba Katuga.

Hakimu Haule alikubali maombi hayo na kupanga Juni 8 kuwa siku ambayo kesi hiyo itatajwa na kutolewa siku ya kusikilizwa, huku mshitakiwa akirudishwa rumande.


Hivyo makala Kesi ya Scorpion yaahirishwa tena

yaani makala yote Kesi ya Scorpion yaahirishwa tena Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Kesi ya Scorpion yaahirishwa tena mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/kesi-ya-scorpion-yaahirishwa-tena.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Kesi ya Scorpion yaahirishwa tena"

Post a Comment

Loading...