Loading...
Loading...
- Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa , tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title :
link :

soma pia


Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba,Mhe.Salama Mbarouk Khatib,akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Maafa ya Wilaya Chakechake Pemba kwa ajili ya kutathimini madhara na maafa waliopata Wananchi wa Wilaya hiyo kutokana na mvua za masika zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali kisiwani humo, mkutano huo umefanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Chakechake Pemba.
 Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Maaafa ya Wilaya ya Chake Chake Pemba, wakiwa katika Kikao cha pamoja na Mkuu wa Wilaya Mhe. Salama Mbarouk Khatib, iliokutana kutathimini madhara ya maafa katika Wilaya yake ya Chakechake Kisiwani Pemba.
 Mkuu wa Wilayaa Chake Chake Pemba, Salama Mbarouk Khatib,akiwafariji baadhi ya wa hanga hao ambao Walipata maafa yataokanayo na mvua kubwa zinazoendelea   kunyesha Kisiwani Pemba.,
Mkuu wa Wilayaa Chake Chake Pemba, Salama Mbarouk Khatib,akiwafariji baadhi ya wa hanga hao ambao Walipata maafa yataokanayo na mvua kubwa zinazoendelea   kunyesha Kisiwani Pemba.,

Picha na Said Abrahamani-Pemba.


Hivyo makala

yaani makala yote Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/05/mkuu-wa-wilaya-ya-chake-chake-pembamhe.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to " "

Post a Comment

Loading...