Loading...

WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA MAADHIMISHO YA SIKU JANGWA

Loading...
WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA MAADHIMISHO YA SIKU JANGWA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA MAADHIMISHO YA SIKU JANGWA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA MAADHIMISHO YA SIKU JANGWA
link : WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA MAADHIMISHO YA SIKU JANGWA

soma pia


WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA MAADHIMISHO YA SIKU JANGWA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. January Makamba (katikati) akiongea na waandishi wa habari juu ya Maadhimisho ya Siku ya Kupambana na kuenea kwa hali ya jangwa na Ukame. Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa hazina Dodoma. Kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustin Kamuzora na Bw. Timothy Mande Afisa Misitu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustin Kamuzora (kushoto) akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utoaji wa tamko la kuadhimisha siku ya kupambana na kuenea kwa hali ya jangwa na ukame, mkutano huo umefanyika leo katika ukumbi wa hazina Dodoma


Hivyo makala WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA MAADHIMISHO YA SIKU JANGWA

yaani makala yote WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA MAADHIMISHO YA SIKU JANGWA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA MAADHIMISHO YA SIKU JANGWA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/waziri-makamba-azungumzia-maadhimisho.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA MAADHIMISHO YA SIKU JANGWA"

Post a Comment

Loading...