Loading...

KAIMU JAJI MKUU ASEMA MAHAKAMA YA TANZANIA KUANZA KUSIKILIZA KESI ZA KIBENKI.

Loading...
KAIMU JAJI MKUU ASEMA MAHAKAMA YA TANZANIA KUANZA KUSIKILIZA KESI ZA KIBENKI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KAIMU JAJI MKUU ASEMA MAHAKAMA YA TANZANIA KUANZA KUSIKILIZA KESI ZA KIBENKI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KAIMU JAJI MKUU ASEMA MAHAKAMA YA TANZANIA KUANZA KUSIKILIZA KESI ZA KIBENKI.
link : KAIMU JAJI MKUU ASEMA MAHAKAMA YA TANZANIA KUANZA KUSIKILIZA KESI ZA KIBENKI.

soma pia


KAIMU JAJI MKUU ASEMA MAHAKAMA YA TANZANIA KUANZA KUSIKILIZA KESI ZA KIBENKI.


Na Magreth Kinabo – Mahakama ya Tanzania.

5/07/2017

Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Profesa Ibrahim Hamis Juma, amesema kwamba Mahakama ya Tanzania imejipanga kusikiliza kesi zilizokwama zinazohusu mabenki kwamba ili ziweze kwenda kwa haraka na kulingana na sera ya, ikiwemo kuwezesha ukuzaji wa uchumi wa nchi .

Kauli hiyo ilitolewa na jana Kaimu Jaji Mkuu huyo , wakati alipotembelea Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa ya sabasaba yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyoko, Barabara ya Kilwa Road jijini Dar es Salaam, ambapo alizungumzia kuhusu mlundikano wa kesi mahakamani alisema Mahakama ya Tanzania inafanya mikakati ya kuweza kuzipunguza.

“ Tunahitaji majaji zaidi ya 30 ili kuweza kupunguza mlundikano uliopo wa kesi zilizopo Mahakamani,” alisema Profesa .

Profesa Juma alisema hayo, baada ya kutembelea mabanda mbalimbali ya maonesho, ambapo alisema Mahakama ya Tanzania, imepiga hatua katika mabadiliko ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA), akitolea mfano Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Biashara, ambapo alishauri kwamba mahakama zingine za chini ziweze kujifunza.

Profesa Juma pia alitoa ushauri kwa watu wenye viwanda nchini kufuata sheria na taratibu, waweze kusajiliwa kwa kuwa kufanya hivyo kutawafanya washiriki kuongeza pato la Taifa na kukuza uchumi wa nchi .

“ Nimetembelea Banda la Mkemia Mkuu wa Serikali nimeona mazao na bidhaa mbalimbali,hivyo ni vema watu wanaotengeneza bidhaa wakasajiliwa ili waweze kufuata sheria na taratibu za nchi, kwa kuwa kufanya hivyo kutawezesha bidhaa zao kuwa bora na wataweza kuiwezesha nchi kushiriki katika uchumi wa kisasa,” alisema Profesa Juma.

Katika maonesho hayo, Kaimu Jaji Mkuu huyo, miongoni mwa mabanda aliyoyatembelea banda la Mahakama ya Tanzania, Jeshi la Magereza , Banda la Jeshi la Kujenga Taifa(JKT), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM),banda la Wakala wa Mkemia Mkuu wa Serikal(GCLA)i, banda la Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA). Banda la Wakala wa Usajili , Ufilisi na Udhamini (RITA) Mamlaka ya Reli Tanzania, na Mabanda la Mamlaka ya Reli Tanzania, Shirika la Utangazaji Tanzania(TBC) ,Shirika la Maendeleo ya Petrol nchini (TPDC .
Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akisaini kitabu cha wageni katika katika banda la Mahakama sehemu ya Mahakama Kuu ya Tanzania. Aliyesimama mwenye miwani ni Jaji wa Mahakama Kuu
Mhe. Edson Mkasimongwa.


Hivyo makala KAIMU JAJI MKUU ASEMA MAHAKAMA YA TANZANIA KUANZA KUSIKILIZA KESI ZA KIBENKI.

yaani makala yote KAIMU JAJI MKUU ASEMA MAHAKAMA YA TANZANIA KUANZA KUSIKILIZA KESI ZA KIBENKI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KAIMU JAJI MKUU ASEMA MAHAKAMA YA TANZANIA KUANZA KUSIKILIZA KESI ZA KIBENKI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/07/kaimu-jaji-mkuu-asema-mahakama-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KAIMU JAJI MKUU ASEMA MAHAKAMA YA TANZANIA KUANZA KUSIKILIZA KESI ZA KIBENKI."

Post a Comment

Loading...