Loading...

Muhimbili Wajadili Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya

Loading...
Muhimbili Wajadili Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Muhimbili Wajadili Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Muhimbili Wajadili Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya
link : Muhimbili Wajadili Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya

soma pia


Muhimbili Wajadili Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru akizungumza kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji Baraza la Wafanyakazi ambacho kimefanyika leo katika hospitali hiyo. Kikao hicho kinajadili jinsi ya kuboresha huduma za afya zinazotolewa na MNH.
0002
Baadhi ya wafanyakazi wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo, Profesa Museru.
0003
Mkurugenzi wa Fedha na Mipango, Gerald Jeremia  akieleza mikakati ya kuboresha huduma za afya katika kurugenzi ya upasuaji pamoja na huduma nyingine.
0004
Baadhi ya wafanyakazi wakimsikiliza Mkurugenzi wa Fedha na Mipango leo.
0005
Mshauri Mwelekezi katika Masuala ya Mawasiliano, Dk. Henry Mambo akieleza mkakati wa mawasiliano ambao umeandaliwa kwa ajili ya kufikia malengo ya kutoa huduma bora.
0006


Hivyo makala Muhimbili Wajadili Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya

yaani makala yote Muhimbili Wajadili Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Muhimbili Wajadili Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/08/muhimbili-wajadili-mikakati-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Muhimbili Wajadili Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya"

Post a Comment

Loading...